Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,557
DSM nishagapatoka,Unaweza shangaa akachinjwa na wengine.
Location wapi dsm au usingidani?

Haya tutajionea kwa picha ukiweka siku dear .Hapana. Hapo nipo serious mnoo
Shangaziiiii tupia basiSalama tu nashukuru Mungu mjomba...
Daah mguu na rangi nkamuPale mpo kikaoni badala ya kuchangia mada ni kujipiga picha![]()


chitchat.. usi panic 😀😀😀tumeachana nayo.. reluxAchaneni na hayo maongezi tafadhali😡
Miguu ya mwanamke ni kama ramani.....













Nkamu nilikupostia muwa wangu na maendeleo yangu ya kuvaa viatu leo. Sijui ulitingwa na kikao
Sent using Jamii Forums mobile app



Eti ngongoti. Mjukuu bana![]()


babu,vitu vingine ukijitizama tu huwezi vaa maana unaweza tishia raia
, baibui jeusi+hijabu nyeusi+ viatu virefu



Yaani hawa wapenda heels wa humu karibu wote ni mangongoti. Aisee mnanogaga sana mkigonga mabaibui yenu, trouser ndani na 👠👠👠👠babu,vitu vingine ukijitizama tu huwezi vaa maana unaweza tishia raia
, baibui jeusi+hijabu nyeusi+ viatu virefu
Babu utanikimbia mjukuu wako![]()
Umeamini sasa babu kuwa huyo mdudu yupo eeh🤣🤣🤣Kwa kweli nimemsimulia Bibi yako hilo tukio lako, amecheka sana. Kuna wakati nayeye aliwahi kusema hivyo hivyo wakati ambapo alipotea nyumbani kwa masaa 48, napata mashaka kwa kweli😂😂
😂😂😂😂😂😂Ukomeee
Mideko nakuja unifundishe kupika
🤣🤣🤣🤣Nkamu nilikupostia muwa wangu na maendeleo yangu ya kuvaa viatu leo. Sijui ulitingwa na kikao
Sent using Jamii Forums mobile app