Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mapenzi ya kweli huwa hayafi...hata mfikishe miaka 76 [emoji123][emoji123][emoji123][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
f319c2a7-7098-4a51-a1d9-8689afe00919.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]babu,vitu vingine ukijitizama tu huwezi vaa maana unaweza tishia raia[emoji3], baibui jeusi+hijabu nyeusi+ viatu virefu[emoji3][emoji3]

Babu utanikimbia mjukuu wako[emoji2442][emoji2442]
Yaani hawa wapenda heels wa humu karibu wote ni mangongoti. Aisee mnanogaga sana mkigonga mabaibui yenu, trouser ndani na 👠👠👠👠
 
Kwa kweli nimemsimulia Bibi yako hilo tukio lako, amecheka sana. Kuna wakati nayeye aliwahi kusema hivyo hivyo wakati ambapo alipotea nyumbani kwa masaa 48, napata mashaka kwa kweli😂😂
Umeamini sasa babu kuwa huyo mdudu yupo eeh🤣🤣🤣
Lakini uzuri anakurudisha nyumbani salama, hilo ndio la muhimu babu
 
Back
Top Bottom