Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,849
- 37,556
Kiasi namshukuru MunguMguu mnene kabisa huo...
Kiasi namshukuru MunguMguu mnene kabisa huo...
Mi niko koteHapo sawa,napenda hivi
Mi kote koteHivi sasa ni vyetu Mabinti Abiudi
😀😀😀😀 kuhusu hilo ondoa shaka mzee.. tumeishaliweka sawa na Nuzulati.. kila kitu tutafata protocol.. tupate baraka zakoMashaka juu yangu ni yapi? Nimesema nimechoka kunizalishia Wajukuu zangu wakiwa nyumbani, saivi tunataka harusi hata ya kimila kuhalalisha🤪🤪
ShangaziiiiiSi tayari jamaniii
Akishajifungua hii ya kwanza tunafunga harusi 😄😄😄😄Umefanya vizuri, kwahiyo harusi ni lini na Mjukuu wangu?
Shangaziiiii
Mbona unataka kutumia mbinu kama ya Bwana Uledi, naye alisema hivyo hivyo Kwa Mjukuu wangu lakini baada ya kukamilisha mpango wake alimwacha na mtoto 1 na mimba. Tangu wakati huo hajaonekana hadi leo hii huku matumizi ya mtoto natoa miye Babu Yao😢Akishajifungua hii ya kwanza tunafunga harusi 😄😄😄😄
Viatu virefu siviwezi wallah,nishazoea masai nk.Mi niko kote
Inategemea tu naenda wapi na nimevaa nguo gani
Have been looking at you bila mafanikio, nani alikuficha Mjukuu wangu lakini?Babuuu umemisika
Upogo??Wanaofuturu tupeane location.
Ku test mitambo tu hiyo.. nikitaka kujua kama inashika au lah.. kuhusu mie na Nuzulati ondoa shaka kila kitu ni sawa.. siwezi muachia mjukuu wako.. lazima niende nae.. Uledi mweu yule sema hamkugundua mapema 😂😂😂Mbona unataka kutumia mbinu kama ya Bwana Uledi, naye alisema hivyo hivyo Kwa Mjukuu wangu lakini baada ya kukamilisha mpango wake alimwacha na mtoto 1 na mimba. Tangu wakati huo hajaonekana hadi leo hii huku matumizi ya mtoto natoa miye Babu Yao😢