Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
🤣🤣🤣🤣🤣Hehhehehhee maendeleo Uyole
Nikifanikiwa kuwa na miguu iliyotunzwa kama ya Nkamu aisee mtanikoma na selfie za miguu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Hehhehehhee maendeleo Uyole
Woyoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe Nina kucha nzuri eeh??Mbona husemi siku zote🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zilikuwa zangu.
🤣🤣🤣🤣🤣
Nikifanikiwa kuwa na miguu iliyotunzwa kama ya Nkamu aisee mtanikoma na selfie za miguu😂😂😂😂
Nishaanza kujikandika parachute 🤣🤣Na sisi tutakuwa tumekaa tu tunakusubiri ufanikiwe ututese?
Wivuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂Sio nzuri kivileeeeeee
Sijui watu wanabandikaje kucha aisee
Nishaanza kujikandika parachute 🤣🤣
Shangazi dah! haya sikuwa na bahati basi na selfi yako wacha nilaleMbona nilishatupia mjomba![]()
Mimi kutengeneza siwezi😒Mimi nimetengeneza ya kwangu ya nazi og
Yaani hawa wapenda heels wa humu karibu wote ni mangongoti. Aisee mnanogaga sana mkigonga mabaibui yenu, trouser ndani na![]()
Pambana na hali yako. Hapa nateleeeza kama mlendaMimi kutengeneza siwezi😒
Ulishindikanika

Halafu mangingoti wengi ndio wanapenda heels
KwaniniKama Nsyuka yaani
Nimekoma mimi,nimekoma sana ,nimekoma mimi.
Ila nimeiacha Moja..utukutu bado upo upo.
View attachment 2178327

Tutapambana tu na parachute kama Nkamu hafu tutaona nani mshindi😂😂😂Pambana na hali yako. Hapa nateleeeza kama mlenda
Nibandike?
Kucha za kubandika siwezi
Nimewahi bandika mara Moja tu,siku ya graduu..ilinitoa damu mguuni![]()

