Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kabisa yaani mie mwenyewe nilivamia ugomvi tu ila eti ndiyo nikajikuta nina hasira kuliko waliotukanwa hadi kaka wa watu kanung'unika haki inabidi niache huu utani wa kijinga humu JF kuna watu huwa wanamaindi kweli aise yaani mimi nikija kupata mume kauzu asiyependa matani sijui nitaishije nahisi nitakuwa nakula mabanzi kila siku
Send me your address
 
Niliona nikasema daaah kama mashaka ya mdau ni kweli basi nitakaa nalo moyoni
Yeah lakini hata hivyo mimi sikucomment sana maana kule juu kuna mtu ameniambia eti ana mashaka na jinsia yangu kwa sababu naomba sana picha za wanawake kuliko za wanaumebinadamu hawana jema tukiomba za wanaume tu tunaambiwa tuna wivu na wanawake wenzetu tukiomba za wanawake tu tunatiliwa mashaka kwenye jinsia zetudaah nimecheka leo mimi jamani
 
Kura zitapigwa kwa siri na wazeebaba wa huu uzi
Halina ubishi hilo...mwisho wa mwaka huu nitaweka top 10 ya warembo hapa kwa uzi. Nakutakua na zawadi nono kwa top 3Pesa cash 100k

Pia zawadi kama

Savanna/heinken/windhoek/wine/whiskey

Proudly sponsored na wanaume wote kwenye huu uzi tukiongozwa na Mshana Jr
 
Aise hapo kwenye vinywaji hauwezi kutufikiria na wengine ambao hatutakuwepo kwenye hiyo top 3??
Halina ubishi hilo...mwisho wa mwaka huu nitaweka top 10 ya warembo hapa kwa uzi. Nakutakua na zawadi nono kwa top 3Pesa cash 100k

Pia zawadi kama

Savanna/heinken/windhoek/wine/whiskey

Proudly sponsored na wanaume wote kwenye huu uzi tukiongozwa na Mshana Jr
 
Back
Top Bottom