Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Hahhaaa watu na milonjo yetu, mirefuuuu
Mdogo wangu ananiambia natembelea mikono



Hahhaaa watu na milonjo yetu, mirefuuuu



Kwa hivi vituHahahhaa yaani na miguu inaning’inia ...
, Vigimbi haviepukiki kama vya sadio mane 
Ule mguu wako ndiyo mwembamba? Nyie kamguu kangu ni kembamba ila kanakomaaaaSie wenye viguu vyembamba ukivaa hichi waweza onekana kichekesho.
Mimi jumlisha na tege juu. Najifanyaga "achaneni na sexy tege hili"🤣🤣🤣Mdogo wangu ananiambia natembelea mikono![]()
Unapenda vilivyobana eeh

Kamba kamba na travota niHizi nzuri hapa ulipendeza balaa
Hakika wewe ni fashionista
Natamani hivi viatu sema weh inabidi usiwe mtu wa mizunguko na sina guu mieView attachment 2177909



Mama junia una smile amazingMashavu ya kupulizia MotoView attachment 2177927
Si unajua zile pasi zetu za udongo Mjukuu🤪Babuu babuuu!! Suruali imekolea pasi.....
so smay!!
Style ya kuchekea Junia akikupiga na mwiko usoniMama junia una smile amazing



Acha tu sis nauonaga mwembamba balaaUle mguu wako ndiyo mwembamba? Nyie kamguu kangu ni kembamba ila kanakomaaaa
ahaaaaahaaSi unajua zile pasi zetu za udongo Mjukuu🤪
Au akiwa analilia kuvunja simu🤣🤣Style ya kuchekea Junia akikupiga na mwiko usoni![]()
Viatu vizuri sana rafikiKamba kamba na travota ni![]()
We mzee 🤣🤣🤣😂🤣Kwani hujasoma Sheria Mpya ya Babu, ni lazima uhamie Arsenal yake na sio Chelsea yako🤪
bado smile la mama mchungaji sasa!😜Mama junia una smile amazing
Hamna sio mwembamba bana. Vaa tu viatu vyako, afu utashangaa gradually wewe mwenyewe unaanza kuukubali.Acha tu sis nauonaga mwembamba balaa
Itakuwa picha tu ile .
Mguu mzuri bado unapendeza tu wewe .