Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,196
- 183,024
! Madam mkemia 🤣🤣🤣🤣🤣Nikinyanyuka jioni madam mkemia. You were missed
Sawasawaaaa nasubiria jioni unyanyuke mama mchungaji!
! Madam mkemia 🤣🤣🤣🤣🤣Nikinyanyuka jioni madam mkemia. You were missed
Navaa ila si sana mpaka itokee eventHata
Wewe huvai
Hizo makitu[emoji848]
Eeeh unatukorogea tu chemicals huko maabara! Madam mkemia 🤣🤣🤣🤣🤣
Sawasawaaaa nasubiria jioni unyanyuke mama mchungaji!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Eeeh unatukorogea tu chemicals huko maabara
Angalau picha Zako zinalainisha kwaresma yangu aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeanza Anne! [emoji118] Swaumu kali najua hili please!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo ni siku ya wanyaki kuvaa vitenge vya Muwa.
Nkamu Simara Leo sijavua viatu, nikitoka nakwenda kujipongeza.
Saint Anne Depal endeleeni kukaa peku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2177841
Junia atabaki na nani sasa?[emoji1787][emoji1787]Amependeza Sana
Ila mm siku nikijaribu icho kiatu mtanikuta MUHIMBILI kitengo Cha mifupa [emoji23][emoji23]
Ila mnapendeza Sana mkivaa aisee
[emoji23]juniaJunia atabaki na nani sasa?[emoji1787][emoji1787]
Wizooo, miss u![emoji151][emoji151][emoji151][emoji151][emoji151][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Waache hawa watoto waendelee kukaa peku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ewaaaa mambo yangu hayaLeo ni siku ya wanyaki kuvaa vitenge vya Muwa.
Nkamu Simara Leo sijavua viatu, nikitoka nakwenda kujipongeza.
Saint Anne Depal endeleeni kukaa peku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2177841
[emoji91][emoji91][emoji91]Leo ni siku ya wanyaki kuvaa vitenge vya Muwa.
Nkamu Simara Leo sijavua viatu, nikitoka nakwenda kujipongeza.
Saint Anne Depal endeleeni kukaa peku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2177841
Mi ndo mambo yangu haya[emoji108]Hahhaha
Yaani heels zina wenyewe otherwise utaita maji mma ..
Hivi viatu bwana sio vya kuviparamia vitakunyoosha. Zamani zamani kuna siku nilivaa hicho kiatu kirefu kweli nikazama kanisani wakat narudi nikasema nitembee tu nyumban sio mbali weee nilivua nilirudi peku sitasahau. Navipenda ila naviheshimu mno [emoji23][emoji23][emoji23]Amependeza Sana
Ila mm siku nikijaribu icho kiatu mtanikuta MUHIMBILI kitengo Cha mifupa [emoji23][emoji23]
Ila mnapendeza Sana mkivaa aisee
[emoji23]nimecheka jmnAmependeza Sana
Ila mm siku nikijaribu icho kiatu mtanikuta MUHIMBILI kitengo Cha mifupa [emoji23][emoji23]
Ila mnapendeza Sana mkivaa aisee
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi viatu bwana sio vya kuviparamia vitakunyoosha. Zamani zamani kuna siku nilivaa hicho kiatu kirefu kweli nikazama kanisani wakat narudi nikasema nitembee tu nyumban sio mbali weee nilivua nilirudi peku sitasahau. Navipenda ila naviheshimu mno [emoji23][emoji23][emoji23]
Nina kawaida ya kubeba flat shoes siku ile sijui ikawaje sikubeba bwana,alaf kilichonipa jeuri kanisan na home sio mbali kiihivyo nikajua kiatu nitakimudu. Aisee nilijuta sitarudi[emoji3] njian wakawa wananitania viatu virefu waachien kina Shakira [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ss uwe unafanya hivi!
Unakuwa na simple zako kwenye hand bag! Ibada ikiisha unarudi home,unavua tu,unavaa simple zako
😀😀😀.. wajuukuu unawataka ukae nao mwenyewe tu.. hiiiView attachment 2177866
Wale waliokuwa na mpango wa kuwachezea Wajukuu zangu, nawapa taarifa nipo Bomani kukamilisha umiliki wa mguu wa Kuku. Sitaki masihara Mwaka huu 🤪🤪🤪🤪🤪🤪
CC 9.8ms squared
Kwani hujasoma Sheria Mpya ya Babu, ni lazima uhamie Arsenal yake na sio Chelsea yako🤪Sasa team ikiuzwa ndiyo nini?
Tuna imani na vijana wetu plus kocha, hata tukiwa Kongolo FC still we can go extra miles.
Daraja litavukwa, mpende msipende.
Lenu iloooo aseno, kama sio lenu basi la majirani zenu Man U 🤪🤪
Nataka mje mlipe Mahali🤪😀😀😀.. wajuukuu unawataka ukae nao mwenyewe tu.. hiii