Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakuna [emoji3]
Tena wewe nitakuwa special treatment na bonus ya transport allowance bure kabisa…
Kama hakuna fimbo sawa[emoji847]
Hakuna kitu nilikuwa naogopa shule kama fimbo,,nilijitahidi sana kuzikwepa..
Nikitandikwa basi ni makosa ya jumla jumla.

Kwahiyo kila siku utanipa lift hadi mbezi??
Hadi hapa nina uhakika wa 'A'

Wewe unafundisha somo gani mkuu??
Nataka somo unalofundisha nije nilisome upya aisee.
 
mm kwa hasira na huu ujeuri wangu,ningefungwa .maana dah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi najisemeaga tu ashukuriwe Mungu aliyeniumba mwanamke na nguvu sina.
Ningekuwa wa kiume nadhani ningekuwa ndani saa hizi.

Kuna watu wanakuja kukukera tu unawaza tu hawa ningekuwa na nguvu sipotezi muda kulalamika,ni kupiga tu.
 
Back
Top Bottom