Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,960
- 136,790
wamefumania wavu.. wanatupigia makeleleee kama wao ndio wa kwanza kushinda..




jamani si wameshinda lakini!!!!Au kuna jambo lingine

wamefumania wavu.. wanatupigia makeleleee kama wao ndio wa kwanza kushinda..




jamani si wameshinda lakini!!!!
wajitulize sasa.. hatukaai watu tukasikiliza mambo mengine kila saa pakaa pakaaaajamani si wameshinda lakini!!!!
Au kuna jambo lingine![]()
😬😬😬 jamani mbona sina effects.. si kulala tu 🙄🙄🤣🤣🤣 acha hizo
Kwanza babu hataniruhusu nifanye hvyo
wajitulize sasa.. hatukaai watu tukasikiliza mambo mengine kila saa pakaa pakaaaa






kwahiyo unataka kusema,imetosha
Kulala kwa sarakasi kha!😬😬😬 jamani mbona sina effects.. si kulala tu 🙄🙄
kalalenikwahiyo unataka kusema,imetosha
![]()
😁😁😁 unataka tulalaje watu sasaKulala kwa sarakasi kha!
Utaharibu kitanda wewe
True love comes with jealous in it!Babu nina wivu ujue 🙈
Unatakiwa kulala kistaarabu jamani😅😁😁😁 unataka tulalaje watu sasa
😁😁😁😁 utatoa darasa kwa practical eeh.. AuUnatakiwa kulala kistaarabu jamani😅
Akuuuu😅😁😁😁😁 utatoa darasa kwa practical eeh.. Au
hahahaaa...!!Kwa jinsi ulivyo bright nilijua tu Mimi kuwa utakuwa umesoma sayansi![]()
😬😬😬 jamani.. babu katoa ruhusa lakiniAkuuuu😅
Hahahaha!!!Boss lediii ni mkemia mkuu![]()
Hajatoa, babu hawez ruhusu umfanyie hivyo mjukuu wake😬😬😬 jamani.. babu katoa ruhusa lakini
H₂SO₄ inahitajika conc.. ina kazi maalumuAnne please nisije changanya kemikoz mie mkasikia mwalimu aunguza maabara kuendekeza mitandao ya kijamii nacheka kama chizi hapa!!
View attachment 2175075