Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it



Mimi najisemeaga tu ashukuriwe Mungu aliyeniumba mwanamke na nguvu sina.
Ningekuwa wa kiume nadhani ningekuwa ndani saa hizi.

Kuna watu wanakuja kukukera tu unawaza tu hawa ningekuwa na nguvu sipotezi muda kulalamika,ni kupiga tu.
kn kipindi nilIfanya TOT. Sasa inabidi niwa train wanafunzi fulani,dah walitaabika sana
 
Back
Top Bottom