Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Tupo wengi aiseeSipatan nao kabisa, nikiona hata picha tu kama hapo juu nashtuka yaan
Aliingia mojaa hadi ndani .. aisee nilipiga kelele na kukaa nje siku nzima maana hakuonekana dah

Tupo wengi aiseeSipatan nao kabisa, nikiona hata picha tu kama hapo juu nashtuka yaan

Uwekezaji kama unafundisha form six.. kidogo wapo chuo.. kifungu cha 30 kinaisha..cjaelewa
kn kipindi nilIfanya TOT. Sasa inabidi niwa train wanafunzi fulani,dah walitaabika sana
Mimi najisemeaga tu ashukuriwe Mungu aliyeniumba mwanamke na nguvu sina.
Ningekuwa wa kiume nadhani ningekuwa ndani saa hizi.
Kuna watu wanakuja kukukera tu unawaza tu hawa ningekuwa na nguvu sipotezi muda kulalamika,ni kupiga tu.
😁😁😁 msiwasakizie watoto.. watoto ni product ya wazazi na jamii watokayo.. so walimu wajeuri na watoto wajeuri lazima pachimbikeNa watoto wa siku hizi ni wajeuri yaan kama wanaambizana vile
Tupo wengi aisee
Aliingia mojaa hadi ndani .. aisee nilipiga kelele na kukaa nje siku nzima maana hakuonekana dah![]()


pole, ina mana aliingia na kutoka mwenyeweKuna namna tu wakitengenezwa wanakuwa vizuriNa watoto wa siku hizi ni wajeuri yaan kama wanaambizana vile
kn kipindi nilIfanya TOT. Sasa inabidi niwa train wanafunzi fulani,dah walitaabika sana



Wewe watoto wa zama hizi wamezidi ujeuri bwanamsiwasakizie watoto.. watoto ni product ya wazazi na jamii watokayo.. so walimu wajeuri na watoto wajeuri lazima pachimbike

Nisingeweza kulala humo ndaniTupo wengi aisee
Aliingia mojaa hadi ndani .. aisee nilipiga kelele na kukaa nje siku nzima maana hakuonekana dah![]()
hapana.. ujerui wamejifunza kwa wakubwaaa sasa ambao ndio nyie hapo 😀😀😀Wewe watoto wa zama hizi wamezidi ujeuri bwana![]()
hahahaha.nimekusomauzuri unajilipa posho tena kama hao wa form six.. 😬😬😬
Yaani niliacha mlango wazi nikakimbia kutafuta mtupole, ina mana aliingia na kutoka mwenyewe
.Ndio hao nawasemea, hawasikii hata ufanyajeKuna namna tu wakitengenezwa wanakuwa vizuri
Labda tu mtoto awe sugu aliyeshindikanika.
Mimi sio mjeuri jamanhapana.. ujerui wamejifunza kwa wakubwaaa sasa ambao ndio nyie hapo![]()


kn siku niko obay pale shule kumchek.mwl alimkosesha mwanafunzi swali.mwanafunzi akamwambia mwl huna akili.hujielewihapana.. ujerui wamejifunza kwa wakubwaaa sasa ambao ndio nyie hapo 😀😀😀
Yaani niliacha mlango wazi nikakimbia kutafuta mtu.
Sema sasa yeye alikuwa dirishani natoa pazia hivi nifue huyo namuona ametulia nikasema siwezi kumuua huyu .

pole sana. Hukuhama chumba kweli?Yaani niliogopa sema Mungu ni mwemaNisingeweza kulala humo ndani
😀😀😀 Walimu wa kibaba mtihani sanaaa.. tena wabinti wa siku mtoto yupo form four ila anapendeza utadhani anafanya phd.. usipokuwa makini unachana mkekahahahaha.nimekusoma
Kawaida mwenye nacho akifurahia alichonacho mnaona mnaonewa. Tulia kijanahamna lolote kelele tu
Sebuleni ndo eneo la tukiopole sana. Hukuhama chumba kweli?

.