Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,774
- 256,812
Enhee kabisa 😄😄Harakati za Mtu mweusi"😜
Enhee kabisa 😄😄Harakati za Mtu mweusi"😜
Enhee ndio uko wapi hapo 🤔mkuu umeona uniphotoe au sio 👷♂️👷♂️
Mie huyo nimesimama na mke wangu kabeba mtoto 😎😎 usirudie siku ingineEnhee ndio uko wapi hapo 🤔
Mfalme Daudi, Mfalme Suleiman, Ruthu n.k walipokuwa kwenye siku zao za Uzee walitafutiwa Mabinti kuwapa Joto ili Wazeeke vizuri lakini Mimi unanikatalia😢🙆wewe wake wawili pasua kichwa babuu sikushauri!! Utakufa siku si zako please please bado wajukuu tunakuhitaji!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 zama zimebadilika nanii wa zamani sio wa sasa shauri yako sie basi tunakuhitaji hatutafanikiwa kukupoteza kabisa!!Mfalme Daudi, Mfalme Suleiman, Ruthu n.k walipokuwa kwenye siku zao za Uzee walitafutiwa Mabinti kuwapa Joto ili Wazeeke vizuri lakini Mimi unanikatalia😢🙆
35!! Unapenda kujizeesha eehhh!! wenzio tunatamani turudie utoto wewe unatamani uzeee!! Shindwaaaaa!





Haya nawewe selfikapo sasa!
Bora umetusafishiapo uzi aiseee
![]()
Si unaona sasa hadi meno yamejipanga vizuri! Anne nacheka pekeangu naonekana chizi huku mwenzio!!! please!




Kwa kweli naomba nirudi Shuleni tu, ila please usiwe unanipa homework nyingi 🤪
Ona sasa boss ledi anapendeza Jamani nyie



















Yaani akikufundisha huyu tayari una uhakika wa 'A'Natamani nirudie Shule ili nifundishwe na Mwalimu wewe 🥱🥱





Utengue kitanda changu kwani una mpango nacho gani, em nielezee kwanza tasavali😂😁😁😁😁 masharti na vigezo kuzingatiwa.. kikiteguka gharama zaenda kwa nani
😀😀😀😀.. napendaga sana michezo ya mieleka kama WWE.. nikiingia tu chumbani huwa na ruka RKO kama Randy Orton vile.. au basi na wewe utabaki ulinde nisikitegueUtengue kitanda changu kwani una mpango nacho gani, em nielezee kwanza tasavali😂
Kwa jinsi ulivyo bright nilijua tu Mimi kuwa utakuwa umesoma sayansiAnne please nisije changanya kemikoz mie mkasikia mwalimu aunguza maabara kuendekeza mitandao nacheka kama chizi hapa!!
View attachment 2175075







Anne una VAR binafsi !?????!!!😳😳😳 wewe meno umeyaona wapi??😂Si unaona sasa hadi meno yamejipanga vizuri
Nilisema Mimi humu boss ledi ni pisi kali
Haya wanajionea wenyewe![]()
Zama zimebadirika, Nanii wa zamani sio wa Sasa...................umeanza kuwa na mashaka na uwezo wa Babu pamoja na kula vyakula vya asili miaka yote hii 🙊🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 zama zimebadilika nanii wa zamani sio wa sasa shauri yako sie basi tunakuhitaji hatutafanikiwa kukupoteza kabisa!!
Boss lediii ni mkemia mkuuHahahaaa... huku niliko ni practicals kwakwenda mbele... vitendo mwanzo mwisho!View attachment 2175086





Ona sasa boss ledi anapendeza Jamani nyie
Utadhani wale waratibu waandamizi wa ibada pale full Gospel Bible Fellowship![]()
Nipo radhi nisielewe hizo Theories lakini kwenye Practical lazima Babu aibuke kidedea 🤪🏃🏃Hahahaaa... huku niliko ni practicals kwakwenda mbele... vitendo mwanzo mwisho!View attachment 2175086
Nitamshangaa atakayesema hakuyaona yale meno yamejipanga namna ileAnne una VAR binafsi !?????!!!wewe meno umeyaona wapi??
![]()












na yule msukuma.