Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mboga
IMG_20220404_121929_087.jpg
 
Hizi akili za hawa watoto mwakahuu mimi sijaona!! mitihani ni mwepesi yani ulikua mwepesi balaaa..... solvings zote tushasovu. Maswali yote kama yamejirudia matoto hata hayaleti maswali kusaidiwa huko mabwenini wakikaa ni ujinga ujinga tu eti kukuta wanajadili masomo thubutuuuu!!! Wapowapo tu!
Ndio maana yake pia kufundisha kwa kufuata mtaala raha sana, yaani huwa naandaa notes zangu kwa mtindo wa maswali vijana labda wawe wazembe wanaojitambua huwa wanafanya vizuri kabisa
 
Ni somo gani wameanguka sana, jaribu kwa muda uliobaki wafanye mazoezi ya past papers mara nyingi NECTA ni wavivu wa kutunga maswali tena ukipata past papers za miaka ya 70,80 na 90 bila shaka watapata maswali baadhi humo.

Ndio mbinu ninayotumia kwa vijana wa sayansi.
Vijana sio tatizo. Ila mifumo ya ndani ya shule husika ni tatizo. Wanafunzi wanafundishwa kukalili, walimu hawana mbinu ( ikija mitihani ya ndani walimu wana copy na paste mahala ambapo wanafunzi wanapita kila siku na .. ukitaza mifumo ya mitihani ya ndani.. mtoto anabokoa vizuri mitihani ya ndani ( kwasababu anajua utungaji wa mwalimu na mahala ambapo mwalimu anachukua madesa) .. ukimpa mitihani ya nje.. chali. inakuwa shidaa

ili watoto wafaulu.. mabadiriko yaanzie kwa waalimu ( tusiende juu sana kwenye mfumo mzima) ila tukianzia ndani tuanze na walimu.. walimu wa update software zao from 2.0 to 2.2.2 na ukitaka jua mshtukize teacher ambae mwalimu na paper mpyaa utaona anavyotoka jasho 😁😁😁😁
 
Yani tabu tupu hawa watoto!! Mbayaaaaaa zaidi unawauliza mmeelewa ndiiiiiooooo areas that you more clarification noooooo!!!
kwenye mitihani sasa ngachoka!!
Wawekeeni muda wa ziada kwa ajili ya kusolve past papers kwa somo moja kila siku hapo walimu inabidi mjitoe Sana

mfano mwalimu mwenye somo husika aingie darasani mapema asubuh kabla ya muda wa vipind kuanza atoe maswali wafanye wakusanye mchna waendelee na vipindi vya kawaida huku mwalimu nawe unapata muda wa kupitia kazi zao muda wa jioni baada ya vipindi unafnya masahihisho

Nafikiri hii itakuwa poa muhimu maswali yawe ya mitihani ya necta ya miaka iliyopita

Then mwisho wa wiki walimu masomo wa darasa Hilo mnakaa pamoja mnafanya tathmini
 
Back
Top Bottom