Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Oh!nipo bongo land
Nasemea kuangalia kwenye banda umiza .
Pale 25
Panafaa
Nitakustua
Oh!nipo bongo land
Nasemea kuangalia kwenye banda umiza .
Simba zero.. hamna kitu homa za majira ndio simbaDuh
Jamaa kafurahi
Hatari
Oh!
Pale 25
Panafaa
Nitakustua
"Hawaamini wanachokionaa" (kwa sauti ya Baraka Mpenja)Nkamu sikubet ila niliwanyanyua mashabiki wa Yanga kuwaleta uwanjani, walishaanza kunicheka
Hapa wapo wapoleee hawaamini macho yao


na wewe ni team paka alie changamka 😬😬😬😬..
Hakika huwezi kujuta kuwakilishwa kimataifaMimi huwa najuta tukifungwa ila
sikomi
sema ya leo naona nitakoma
HahaaaaaaMashabiki wa simba kesho tunaruhusiwa kuamka saa sita mchana![]()
Waamshe wakawasindikize vyura wenzaoNkamu sikubet ila niliwanyanyua mashabiki wa Yanga kuwaleta uwanjani, walishaanza kunicheka
Hapa wapo wapoleee hawaamini macho yao
Acha wivuuna wewe ni team paka alie changamka..
wivu wa nini.. kwenye hamna 😬😬Acha wivuu
Hamna hamna ndiyo inayokuwakilisha nje Kwa ushindi mkuuwivu wa nini.. kwenye hamna![]()
siwakilishwi na huyo paka alie changamka.. mnawakilishana nyie wenyewe.. 😎😎Hamna hamna ndiyo inayokuwakilisha nje Kwa ushindi mkuu
Kwani mliwahi kuwa na shukrani nyiesiwakilishwi na huyo paka alie changamka.. mnawakilishana nyie wenyewe..![]()