Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
HatuwaziHahahha ila nyie mnajitahidi , Arteta anachapa kazi ..
Naona Tottenham wanataka wawatoe kwenye top 4 .
Wala nini

HatuwaziHahahha ila nyie mnajitahidi , Arteta anachapa kazi ..
Naona Tottenham wanataka wawatoe kwenye top 4 .

Nkamu ulibet nini![]()


Ushabiki unahitaji moyo jamani; roho juu juu . Mtu anaweza akakutania, ukaanguka kiliondiyo ndiyo![]()
Wasalimie sanaNkamu sikubet ila niliwanyanyua mashabiki wa Yanga kuwaleta uwanjani, walishaanza kunicheka
Hapa wapo wapoleee hawaamini macho yao

Since day oneTangu lini?
Nyie Wana Simba msikubali![]()
Hahaha mnajiamini eehHatuwazi
Wala nini![]()
aisee huo ugali mi nampa dogo wa miaka mitatu ale na amalizeMhuuu. Au inabidi nile tena hapo katikati??![]()

Ukiwa shabiki wa Arse8Hahaha mnajiamini eeh

Wawatoe mara ngapiHahahha ila nyie mnajitahidi , Arteta anachapa kazi ..
Naona Tottenham wanataka wawatoe kwenye top 4 .
Mbona mkorofi sana weweWawatoe mara ngapi
Emu nilaleMbona mkorofi sana wewe
Ukiwa shabiki wa Arse8
Hupati magonjwa kama
Sukari
Presha hata Ukimwi
Wengi kama sio wote
Group ya damu ni 0-ve

Kubahatisha ndio kukojeee?!mkibahatisha mnakelele nyie ni hawa View attachment 2174844
Pole sanaaa,najua unatamani hii Raha tunayopata uwe nayooo,ndio hivyoo haiwezekani.mkibahatisha mnakelele nyie ni hawa View attachment 2174844
Ngumu kwao
Hahaha tulia mna game ngumu mwishoni mwa mwezi .

Hawana tofautiHivii
Kubahatisha ndio kukojeee?!
Goli 4 mtu kabahatishaa?
Ndio maana mashabiki wengi wa timu ya yanga hawanenepii,Rohini mpaka mwilinii,mnamajungu mnooo.
Pole sanaaa,najua unatamani hii Raha tunayopata uwe nayooo,ndio hivyoo haiwezekani.
Jitahidini mwakani na nyie angalau mshiriki na kufika hatua hii.
Shida kubwa ya mashabiki wa yanga,ni mdomooo,mna manenooooo!!


Ngumu kwao
Hao tunaocheza nao
Itategemea tumeamkaje
Siku hiyo
Tunaweza tukasambaratisha
Ama tukatiwa adabu kama tumeingia
Kambi ya jeshi bila kibali
Huku tukichezea kichapo kama cha mbwa koko
Halafu hatujali wala nini
UpoChelsea vs Arsenal ikiwa mapema nitaenda kuangalia hii mechi .
Kha mashabiki wa asenali mna raha nyie au ni wewe peke ako ?

nipo bongo landUpo
London![]()
Bahatisheni na nyinyimkibahatisha mnakelele nyie ni hawa View attachment 2174844