Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
mala mbili.. kawa mzoefu tayari mjukuu mpenzi

Karanga nzuri piaKaranga dear
Mimi napenda zaidi kutumia karanga
Wadada warembo ila wanashabikia makolo na vitu vya ajabu
Popoma atamwaga povu sio poa@GENTAMYCINE
Nafua fresh sana mkuuHapo anafuaje ama ana washing mashine??

Huyu ni PepSawa mkuu
Nipo hapa Lumumba

NdioNikajua jini mahaba Anne..![]()
Kisamvu sijawahi kujaribu kuweka kwa blender
Ah ninayeishi nae mtata hawezi kukubali kuweka kisamvu kwa blender..huwa ananisaidia kutwanga .
Mlonge nilisaga kwenye mashine ndogo ile
Blender za Kenwood ni nzuri , multipurpose haswa .

Minyoo itokee wapi mkuu?Nitatupia ila usiache kukata kucha.
Utapata minyoo ujue.
Bora tu awe mtata maana lazima kiue blendaKisamvu sijawahi kujaribu kuweka kwa blender
Ah ninayeishi nae mtata hawezi kukubali kuweka kisamvu kwa blender..huwa ananisaidia kutwanga .
Mlonge nilisaga kwenye mashine ndogo ile
Blender za Kenwood ni nzuri , multipurpose haswa .
Hizo hizo blender za juiceBlender sio heavy duty hili , nilisaga siku moja majani ya mlonge ikanigomea .
Nikatwanga tu kwenye kinu
KinauajeBora tu awe mtata maana lazima kiue blenda
Mimi mboga nyingi za majani natia karangaKaranga nzuri pia
Mimi karanga kwenye bamia na majani ya maboga
Anh hapo naipenda kweli .
LegaseHebu tupia picha ukiwa na zile sare zetu za mbogamboga mkuu tulinde legase




Salama Kaka,Nipo taifa ila presha umepanda sn.Simba wwnatunyima ushindi wa mapema,nafasi kibao wanachezea😄😄😄 mkuu salamaaaaa lakini
Mtihani haswa sema huwa namuandaa kabisaKama anakusaidia sawa haina neno
maana kutwanga nako mpaka kilainike mtihani
Basi tufanye jini kilamba mwikoNdio
Jini wine
Blender zetu hizi za mchina zinakufa kweli ..Bora tu awe mtata maana lazima kiue blenda