Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Ana wivu wake huyo.Nkamu usiwe hivyo hapa nasikia hadi mapigo ya moyo yanaenda kasi![]()
Sema
Unapikiwa
Hivi nyie wa kishua
Mnaingia jikoni kweli![]()
Mwaka huu ntawatisha zaidi ya shumileta na Saradini alivyowatisha🤣Sikuachi hivihivi lazima nikuseme!
Kwanza acha kula sembe pili kata kucha unatutisha..😎
Blender sio heavy duty hili , nilisaga siku moja majani ya mlonge ikanigomea .
Nikatwanga tu kwenye kinu
Karanga dearDelicious
Cha nazi hichi ?
Ndo tukuite jini nani Sasa..?Mwaka huu ntawatisha zaidi ya shumileta na Saradini alivyowatisha🤣
Legacy hailindwi kwa kuvaa sare.Hebu tupia picha ukiwa na zile sare zetu za mbogamboga mkuu tulinde legase
Jini wineNdo tukuite jini nani Sasa..?
Hapo anafuaje ama ana washing mashine??
Roho mbayaBora nichelewe kupata wajukuu lakini hao vijana wanaokimbia majukumu siwataki nyumbani, ombi langu la kumiliki mguu wa Kuku limefika kamati ya usalama ya Wilaya, wape habari zao![]()
Iwe na nembo ya shujaa wetu.Legacy hailindwi kwa kuvaa sare.
Nikajua jini mahaba Anne..🤣Jini wine
@GENTAMYCINEMpo wengi sana naona, hivi nani kawafundisha kushabikia vitu vya ajabu!!
Nitatupia ila usiache kukata kucha.Iwe na nembo ya shujaa wetu.
Selfika kidogo mkuu wangu katika kulinda legase ya shujaa😍
Ana wivu wake huyo.
@KasieCha mpira?
Ndio kipi?
uliweka na maji au?
jaribu kuweka kidogo kidogo.
ikishindikana basi hapo kutwanga lazima
..huwa ananisaidia kutwanga .