Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Una mhanya eehPopoma atamwaga povu sio poa

Ngoja atimbe
Uone timbwili la asha ngedere
Una mhanya eehPopoma atamwaga povu sio poa

Hapa


Dah mpira huu
Wachezaji wamefanya kazi nzuri ila


Uwii Simba wafanye namna jamaniHalafu basi tu kama tungeruhusiwa sisi Lumumba ningeleta mahari hapo ufipa.
Itauma , huwa sikilizi vipindi vya mchezo week hiyo yoteyaani nitalia jamaniUwii Simba wafanye namna jamani
. Mkijitahidi sana mtadrawItauma , huwa sikilizi vipindi vya mchezo week hiyo yote.
Ngoja tuone wakirudi baada ya halftime
Nipo huku tandika ndanindaniHapa
Ni Buza ya Abiola![]()

Hukutakiwayaani nitalia jamaniUwii Simba wafanye namna jamani

Tupo wote hapa Lumumba mkuuHalafu basi tu kama tungeruhusiwa sisi Lumumba ningeleta mahari hapo ufipa.
Ngoja tuoneMkijitahidi sana mtadraw
Vinginevyo ni kichapo
Ndio nimeona minaziNipo huku tandika ndanindani![]()

Napenda mwanamke mwenye kucha ndefu na bado anaweza kufua nguo.Tupo wote hapa Lumumba mkuu
Hujaona tunapigania legase yetu
Hukutakiwa
Kuwa Uwanjani
Ungekaa home uangalie
Kwa dstv 225

Mkuu unaniangusha aiseeNapenda mwanamke mwenye kucha ndefu na bado anaweza kufua nguo.
Itauma , huwa sikilizi vipindi vya mchezo week hiyo yote.
Ngoja tuone wakirudi baada ya halftime
Aisee polengoja ila nimekata tamaa sana
Tunasubiri hapa wawatandike
Mimi nadhani nikienda uwanjani ndo siku ntakayoanza kuugua preshaAisee pole
Kuwepo uwanjani ina hitaji moyo .