Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Siku ya 3!?Niache mara ngapi?? Leo siku ya 3





Nimeachaa siku hizi nakunywa juice tu
Haha kwamba unataka kusema wanawake hatupendani tunaoneana wivu au?? Mbona tupo wengi tu tumecomment kule juu??
Atakuwa hajaona comments zenuHaha kwamba unataka kusema wanawake hatupendani tunaoneana wivu au?? Mbona tupo wengi tu tumecomment kule juu??







!?
Sikuona aiseee...ila naona hazijapokelewa kwa amsha amsha kiihvyo, labda kwakua mdada hajichanganyi sana labda



Siku ya 3!?
Wewe bado,siku ukiacha nitakupa zawadi..na ungekuwa karibu ningekusaidia kuacha.
Asubutuu
Mtoto wa mzumbe unanitamanisha nikutafuneBasi usilie sana. Kwa heshima yako blaza.
Hubby akiniona huku sina ndoa,jiandae kunisitiri we mlozi.
NB:Na hiyo mkagoogle basiView attachment 1222026
HallelujahNdiyo niko kufumua nywele saa hiiView attachment 1248962
Amini ungeacha ndani ya wiki tu.Ungefanya nin sasa?? Nilihama sehemu niliyokua nakaa mwanzo kwakua nilikua na marafiki wengi wapenda pombe nikijua nitapunguza,,,,nilipohamia nikapata wengine walevi kuliko wale![]()
Dearest
Ya kwangu imepokelewa vema eeh!?
Hakika.Ndio ndio nyie si wazee wa kuliamshaa


Haujapewa taarifa na wewe ukareport kituo cha polisi cha karibu ?



binadamu hawana jema tukiomba za wanaume tu tunaambiwa tuna wivu na wanawake wenzetu tukiomba za wanawake tu tunatiliwa mashaka kwenye jinsia zetu


daah nimecheka leo mimi jamani
Sikuona aiseee...ila naona hazijapokelewa kwa amsha amsha kiihvyo, labda kwakua mdada hajichanganyi sana labda



duuh
Ungefanya nin sasa?? Nilihama sehemu niliyokua nakaa mwanzo kwakua nilikua na marafiki wengi wapenda pombe nikijua nitapunguza,,,,nilipohamia nikapata wengine walevi kuliko wale![]()
Haujapewa taarifa na wewe ukareport kituo cha polisi cha karibu ?


