Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ungefanya nin sasa?? Nilihama sehemu niliyokua nakaa mwanzo kwakua nilikua na marafiki wengi wapenda pombe nikijua nitapunguza,,,,nilipohamia nikapata wengine walevi kuliko wale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ya 3!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe bado,siku ukiacha nitakupa zawadi..na ungekuwa karibu ningekusaidia kuacha.
 
Yeah lakini hata hivyo mimi sikucomment sana maana kule juu kuna mtu ameniambia eti ana mashaka na jinsia yangu kwa sababu naomba sana picha za wanawake kuliko za wanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]binadamu hawana jema tukiomba za wanaume tu tunaambiwa tuna wivu na wanawake wenzetu tukiomba za wanawake tu tunatiliwa mashaka kwenye jinsia zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah nimecheka leo mimi jamani
Sikuona aiseee...ila naona hazijapokelewa kwa amsha amsha kiihvyo, labda kwakua mdada hajichanganyi sana labda
 
Back
Top Bottom