Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeah lakini hata hivyo mimi sikucomment sana maana kule juu kuna mtu ameniambia eti ana mashaka na jinsia yangu kwa sababu naomba sana picha za wanawake kuliko za wanaumebinadamu hawana jema tukiomba za wanaume tu tunaambiwa tuna wivu na wanawake wenzetu tukiomba za wanawake tu tunatiliwa mashaka kwenye jinsia zetudaah nimecheka leo mimi jamani
Sikuona aiseee...ila naona hazijapokelewa kwa amsha amsha kiihvyo, labda kwakua mdada hajichanganyi sana labda
 
Back
Top Bottom