Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Nifanyie wepesi
Shangazi
Nikuone hata macho tu
Studio imeshafungwa mjomba,kesho mungu akipenda

Nifanyie wepesi
Shangazi
Nikuone hata macho tu

Si ndo hapoteh teh tehkuna vijana tu lile goma hawaliwezi aje kuwa mzee wetu!!!
Bageshi naomba nisamehe, nimepiga na magoti hapa nilipo🙏Muone!
Nitakuja kukusemea kwa dada yangu tukuchangie tukutandike sawasawa. We subiri tu![]()
teh teh teh😂 kuna vijana tu lile goma hawaliwezi aje kuwa mzee wetu!!!
DuhStudio imeshafungwa mjomba,kesho mungu akipenda![]()
Silver palm mpaka ibomolewa naona..Tuko Silver Palm sisi![]()
![]()
![]()
Leo umeselfika na sikuambulia hata moja. Dimples zako huwa zinaondoa steresi kama hujui. Kama kuna uwezekano nifanyie wepesi. Leo nina siteresi hatari![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shangazi ni noumaaa.. bongo bahati mbaya!!![]()


Mpaka mimi na dada tukae kikao kwanza. Tukiamua kukusamehe sawa. Tukiamua kukutandika napo sawa...kwa sasa we relax tu mpaka kikao kitakapofanyika.Bageshi naomba nisamehe, nimepiga na magoti hapa nilipo
Tusahau ya nyuma
hapana shangazi fanya Mazoezi tu kwa afya ugeuke geuke !!
Weeeeeyeye mwenyewe huyo ni msosi.. unasubiliwa na mwenyewe kuliwa 😁😁😁😁
hahahaaaaa wewe ni mzungu nanusu.... hataree fayaaaaaaaa!!🤣🤣Hii nafasi ya saint anne inakufaa kweli kweli![]()
tayari au bado 😎😎Weeeee
Silver palm mpaka ibomolewa naona..
Australian dollar’s user mpaka amesharejea … hatimaye pisi la Vienna limemuachia![]()
Pole kwa stress, kunywa maji uwe busy na kususu



Duh
Kuna mdau anakumudu humu
Nani nani
Ahaa
HS ukuje kipande hii


Shangazi ujue na jambo lako special 😀😀
😀😀 hapa internet imepata sana shida Strawbella kafanya maajabu sanaa.. kuna selfie zimetupiwa acha kabisaa kuna Lenie noma tupu.. leo ni shangwe tupu9.8ms squared nimetimba kijiweni kwangu nipe ripot
Shangazi nataka kulala fanya kaupendeleo flani hivi amazing 😊😊
Mpaka itabomolewaWewee. Ilishabomolewa? Au sijaelewa codes?
Maji yanaondoa siteresi?![]()