Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpaka mimi na dada tukae kikao kwanza. Tukiamua kukusamehe sawa. Tukiamua kukutandika napo sawa...kwa sasa we relax tu mpaka kikao kitakapofanyika.

Umenikumbusha jinsi mabinti wa Kisukuma wanavyoombaga msamaha kwa kupiga magoti...Asante bageshi
Sawa bageshi, mimi nitakua na uvumilivu sina namna.
Hahaa eeh tumefundwa tukafundika😊
 
Back
Top Bottom