ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,487
- 119,234
Hatari sana asee!Kwakua sijaweka emoj hebu nifanye Black n white shangazi akeView attachment 2169740
Hatari sana asee!Kwakua sijaweka emoj hebu nifanye Black n white shangazi akeView attachment 2169740
Muone! Bado nina hasira na wewe halafu. Niwache bageshiBsgeshi nifanyie connection basi, hauna hata mdogo wako mtoto wa mjomba?
Nami nifaidi mema ya nchi![]()



Muda shangazi
Leo nimekuona bila chenga Boss Lady. Mtakatifu uko wapi? Unapitwa...halafu tunakosa mapambio yako...









!! Saint Anne wherayuuuu...SafiHabari
Shangazi nimeisniwa hata pumzi.. kuna wale wanawake unatembe nao huku ukijivuana basi ndio wewe.. unatamani hata wasela wakuone nae![]()


😍😍 kalale mpenzi.. badae tuamke tufanye maombi na dua kwa pamoja.. leo siku yako imekuwa ndefu😃😃😃sawa bana atajibu mhusika
hizo hazipo shangazi english figure mpango mzima.. 😎😎Shida ni kwamba masela wakitaka kugeuka sasa point zote zinafutwa![]()
Wewe jamaaMkuu nitakushukuru miaka yote,karibu PM kupo wazi Mkuu,niunge kabisa nichanganye rangi mimi



Upo vizuri sana le madame! Addiction ya huu uzi ni next level, huyu mzee kwa msata kanikamata sio poa coz kila nikitaka kuukimbia nashindwa.
Safi
Wee ukojeUko sahihi Mulangira. Kuna nyama huko ndani ukizigusa unamuona ameshtuka halafu anajikunja kidogo...na wengine utaona anakuuliza kwa sauti iliyochoka saaana "hivi we ukoje?"
Wala usihangaike kumjibu. Endelea tu na operesheni yako![]()




🤣Mkuu hii Dunia ukizubaa utakosa vizuri.muone mrema sahivi ana enjoyWewe jamaa
Mlafi sana![]()
Hahahaaa..... Usiukimbie mkuu hapa tunasogeza masaa tu.. Hurrrrrayyyyy selfika hurrraay!!✌️✌️✌️Upo vizuri sana le madame! Addiction ya huu uzi ni next level, huyu mzee kwa msata kanikamata sio poa coz kila nikitaka kuukimbia nashindwa.
Wadada wa humu mko warembo sana...
Ebu niachieni mpenzi wangu Nuzulati 😎😎[mention]Nuzulati [/mention] mrembo hebu tusafishe macho wenzio jamani...
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shida ni kwamba masela wakitaka kugeuka sasa point zote zinafutwa![]()