Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante studio namba moja
Kila kitu huanza na ndoto.. hii chuma namchukulia Nuzulati bosslady wa ukweli.. kipindi na mie navuta myama wangu wa hatari sanaa.. mwisho wa mwaka
BK864158_9287da_edit_30298354733395.jpg
BK864158_62e2d7_edit_30309360313602.jpg
 
sio X6 tu, unamalizia kwa kusema M Competition Lovelucky anazielewa.. kuna siku nilikutana na ka binti kadogo tu huku kitaa kana hiyo chuma.. nikabaki nacheka tuu.. na mie nilikuwa na myama wangu ila nikaweka salute tu aisee
kwa uzuri ule wa mtoto anastahili mwenye pingamizi akaweke tangazo kwenye gazeti la serikali
 
Fortnox Bro.. leo nimepata hasira sana.. kuna sehemu niliingia nimekaa nakula zangu cigar yangu... kidogo akaja dogo mmoja.. katulia pale mnene kama mie Hi tu, kila mtu biashara yake.. kutoka dogo ana chuma hiyo dah! Nikarudi ndani kwanza kufanya hesabu zangu vizuri na kujiuliza nafanya mie kijana wa hovyo hovyo hapa duniani.. why nipo nyuma ya mdaa.. tena namba DY....

Shimba Ya Buyenze

chombo ilikuwa kama hii.. kitu peruuuView attachment 2168449
Hapa nilipo nina hasira hatari. Nimekwenda mahali nikapaki mkweche wangu wa Corolla. Nimemaliza mishe zangu nakuta pembeni kuna kitu hiki cheupe kipya kipya. Kuangalia ndani nikakuta pisi moja junior Yutong hivi inaongea kwenye simu. Uzalendo ukanishinda nikagonga dirisha ikalishusha. Piga piga stori pale nikiisifia hiyo ndinga mpaka nikaifikisha kwenye personal issues. Pisi ni singo maza na ilishawahi kudate Nigerian boy japo boya hakuacha resume nzuri. Tetea sana Uafrika pale...from the land of Kilimanjaro and the Serengeti na kamba za hapa na pale. Namba nikapewa na kutaniko la pili ni Jumamosi hii....kwangu! Pisi ni dentist...

Mmeniharibu mpaka nikiona huyu mnyama nawakumbuka...na makonfidensi juu. Ngoja tuone hiyo Jumamosi. Si ajabu nikapewa kuiendesha hii ndinga hata kama ni maeneo tu ya home....Maisha!

Lo lote litakalotokea hiyo Jumamosi lawama ziwaangukie wewe na Fortnox. Hamfai
20220329_121838.jpg
 
sio X6 tu, unamalizia kwa kusema M Competition Lovelucky anazielewa.. kuna siku nilikutana na ka binti kadogo tu huku kitaa kana hiyo chuma.. nikabaki nacheka tuu.. na mie nilikuwa na myama wangu ila nikaweka salute tu aisee
X6 sijawahi kuzielewa body kabisa yaani. X5 M Competition ndiyo mpango mzima.
 
Back
Top Bottom