MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,452
- 69,322
Boys gotta be like that, never entertain hood-rats!mission imefanikiwa 😀
Boys gotta be like that, never entertain hood-rats!mission imefanikiwa 😀
mission imefanikiwa![]()

Hapa nilipo nina hasira hatari. Nimekwenda mahali nikapaki mkweche wangu wa Corolla. Nimemaliza mishe zangu nakuta pembeni kuna kitu hiki cheupe kipya kipya. Kuangalia ndani nikakuta pisi moja junior Yutong hivi inaongea kwenye simu. Uzalendo ukanishinda nikagonga dirisha ikalishusha. Piga piga stori pale nikiisifia hiyo ndinga mpaka nikaifikisha kwenye personal issues. Pisi ni singo maza na ilishawahi kudate Nigerian boy japo boya hakuacha resume nzuri. Tetea sana Uafrika pale...from the land of Kilimanjaro and the Serengeti na kamba za hapa na pale. Namba nikapewa na kutaniko la pili ni Jumamosi hii....kwangu! Pisi ni dentist...
Mmeniharibu mpaka nikiona huyu mnyama nawakumbuka...na makonfidensi juu. Ngoja tuone hiyo Jumamosi. Si ajabu nikapewa kuiendesha hii ndinga hata kama ni maeneo tu ya home....Maisha!
Lo lote litakalotokea hiyo Jumamosi lawama ziwaangukie wewe na Fortnox. Hamfai
View attachment 2168688



dah nimecheka Sana lawama ushazimwaga tayari...tafadhali usiniangushe mzee wangu siku ya appointment nategemea utaondoka na point zote 3 ,, lazma ulitest unazunguka nalo tu around hom😀😀😀 Safari moja huanzisha ingine... kama umeweza sawazisha alipo haribu mnaija hizo lawama hatuzibebi..Hapa nilipo nina hasira hatari. Nimekwenda mahali nikapaki mkweche wangu wa Corolla. Nimemaliza mishe zangu nakuta pembeni kuna kitu hiki cheupe kipya kipya. Kuangalia ndani nikakuta pisi moja junior Yutong hivi inaongea kwenye simu. Uzalendo ukanishinda nikagonga dirisha ikalishusha. Piga piga stori pale nikiisifia hiyo ndinga mpaka nikaifikisha kwenye personal issues. Pisi ni singo maza na ilishawahi kudate Nigerian boy japo boya hakuacha resume nzuri. Tetea sana Uafrika pale...from the land of Kilimanjaro and the Serengeti na kamba za hapa na pale. Namba nikapewa na kutaniko la pili ni Jumamosi hii....kwangu! Pisi ni dentist...
Mmeniharibu mpaka nikiona huyu mnyama nawakumbuka...na makonfidensi juu. Ngoja tuone hiyo Jumamosi. Si ajabu nikapewa kuiendesha hii ndinga hata kama ni maeneo tu ya home....Maisha!
Lo lote litakalotokea hiyo Jumamosi lawama ziwaangukie wewe na Fortnox. Hamfai
View attachment 2168688
kuna sehemu nimemuona kakatishacocastic umepotea sana jamani nishakumis Huku miee
kuna sehemu nimemuona kakatisha
Kama una weupe flani naamini hutojutia dr rashel
Ila Saint Anne we hiyo usijaribu
Labda upate clear cleanser au vovi cleanser ya blue
Babu Kama babuHapa nilipo nina hasira hatari. Nimekwenda mahali nikapaki mkweche wangu wa Corolla. Nimemaliza mishe zangu nakuta pembeni kuna kitu hiki cheupe kipya kipya. Kuangalia ndani nikakuta pisi moja junior Yutong hivi inaongea kwenye simu. Uzalendo ukanishinda nikagonga dirisha ikalishusha. Piga piga stori pale nikiisifia hiyo ndinga mpaka nikaifikisha kwenye personal issues. Pisi ni singo maza na ilishawahi kudate Nigerian boy japo boya hakuacha resume nzuri. Tetea sana Uafrika pale...from the land of Kilimanjaro and the Serengeti na kamba za hapa na pale. Namba nikapewa na kutaniko la pili ni Jumamosi hii....kwangu! Pisi ni dentist...
Mmeniharibu mpaka nikiona huyu mnyama nawakumbuka...na makonfidensi juu. Ngoja tuone hiyo Jumamosi. Si ajabu nikapewa kuiendesha hii ndinga hata kama ni maeneo tu ya home....Maisha!
Lo lote litakalotokea hiyo Jumamosi lawama ziwaangukie wewe na Fortnox. Hamfai
View attachment 2168688

Ni wachache watakaolewa..Kama huna nguvu na hauna source ya nguvu, kwenye huu ulimwengu utateseka na mbinguni utakataliwa.. Nguvu ( energy) ndio inaendesha kila kitu ikiwa duniani ama mbinguni.. Tafuta nguvu na uendelee kuwa connected na chanzo cha hizo nguvu..hata kupata hela unahitaji Power.. kupata amani unahitaji nguvu kila kitu kinahitaji uwe na nguvu

Leo Kimya sana humu!! Habari za mliko!![]()
KitamboUkimuona tena mwambie namtafuta huku selfika!!
Kitambo
Kidogo
Nilimuona
Huko kimasihara
Huku kwema kabisa rafiki!!! Nafurahi kujua mu buheri wa afya!Salama,sijui wewe huko?
Huku tulipo kuna baridi, leo ndio siku ya kutuma selfie za kutosha...huwezi jua kwa nini watu wanazipenda!!Leo Kimya sana humu!! Habari za mliko!![]()