Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Uzuri jinsi ulivyo boss hadi chakula kinakuogopa na hakitaungua...Anne naunguza huku mwenzio hebu nizime data kwanza..See you mbilitatu unusu
![]()
Nguvu ya paka?Power of Pussy
Sijui nimepatia![]()
Nimejiridhisha nani ame likeHakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume kuwa mwaminifu.
Mwanaume anatakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuwa mwamifu ( heshima ) kwa mke/mpenzi wake.
Hakuna mwaume ambae ni sahihi kwa mwanamke, isipokuwa kuna mwanaume sahihi kwa Mungu ( kama ni sahihi kwa Mungu, atakuwa sahihi kwako ).
Kama mwanaume hana hofu ya Mungu, sahahu kuwa na heshima kwako wewe mwanamke.. Usijdanganye kwamba utambadilisha
View attachment 2168434
9.8ms squared kwa sasa sehemu flani napata gahawa na wajukuu zangu..


Ngoja shimba aje amwage sifa za boss ledi wetu😀😀😀 mchongo labda... kuna mmoja tu nae ni Nuzulati hao wengine wanafatia.. hamna kinachosekana kwa my inspiration...
UmepatiaPower of Pussy
Sijui nimepatia![]()
😀😀😀 hata costal unioni watu wanaiaifia..Ngoja shimba aje amwage sifa za boss ledi wetu
Weka pichaAliyeanzisha mjadala wa uzungu ndio atathibitisha...
Mchungaji Jana alisema hivi unadhani utambadilisha mume wako Kwa uhodari wa kupepeta mdomo?Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume kuwa mwaminifu.
Mwanaume anatakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuwa mwamifu ( heshima ) kwa mke/mpenzi wake.
Hakuna mwaume ambae ni sahihi kwa mwanamke, isipokuwa kuna mwanaume sahihi kwa Mungu ( kama ni sahihi kwa Mungu, atakuwa sahihi kwako ).
Kama mwanaume hana hofu ya Mungu, sahahu kuwa na heshima kwako wewe mwanamke.. Usijdanganye kwamba utambadilisha 😎😎😎
View attachment 2168434
9.8ms squared kwa sasa sehemu flani napata gahawa na wajukuu zangu..
Nasema uongo Heaven Sent?😀😀😀 hata costal unioni watu wanaiaifia..
Alikuwa sawa, anaweza deal na Man ni Mungi tu.. hata ukirudi kwenye Genesis ipo hivyoMchungaji Jana alisema hivi unadhani ukambadilisha mume wako Kwa uhodari wa kupepeta mdomo?
Anasema utapepeta mdomo hadi utapata presha
Wewe msukumizie Kwa Mungu,
Itakula Kwa wale wasioamini😂Weka picha
Alieanzisha
Itakula kwake
Mimi ni naniMie mwanaume.. nawashauri madogolai nyie mabinti.. inanikutaje.... Sie wazee tushapigana vita vyote tumemaliza... alie baki wa kuniliza sasa hivi mmoja tu Nuzulati .. akimaliza huyo basi nakuwa nimealiza vita vyote



Tena anapost trela karibia tuputupu mubashara🔥🔥🔥🔥Inakuja kwenye semi-trailer![]()
Niliambiwa hii mbogaBosiii ledi akapike kwanza binti wa kazi nae apumzike!View attachment 2168467
KhaiBoss ledi ni mwisho wa matatizo

Una msukumiza vipi mtumishi kama hajaamua mwenyewe 🤔Mchungaji Jana alisema hivi unadhani utambadilisha mume wako Kwa uhodari wa kupepeta mdomo?
Anasema utapepeta mdomo hadi utapata presha
Wewe msukumizie Kwa Mungu,