Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama huna nguvu na hauna source ya nguvu, kwenye huu ulimwengu utateseka na mbinguni utakataliwa.. Nguvu ( energy) ndio inaendesha kila kitu ikiwa duniani ama mbinguni.. Tafuta nguvu na uendelee kuwa connected na chanzo cha hizo nguvu.. 😀😀😀 hata kupata hela unahitaji Power.. kupata amani unahitaji nguvu kila kitu kinahitaji uwe na nguvu
 
Maninnna zako Yna uwiiiii😋😋😋😋😋😋 una bongesa la mchepu mamaneeee wewe iiiiiiiiiiiiiiiiiiiihhh!!!😋😋😋

mie hapo tumboni tu hoooiiii.... chini shepuuuu katikati pembamba walaiiiii unahamasisha sio kitoto wee mwanamke 🙌😋
😂😂🤣🤣🤣🤣 Mahondaw nacheka Mimi 🤣🤣🤣🤣..sikuzidi wewe mamii..😍😍😍😍😘😘😘😘🤗🤗🤗🤗..
 
Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume kuwa mwaminifu.

Mwanaume anatakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuwa mwamifu ( heshima ) kwa mke/mpenzi wake.

Hakuna mwaume ambae ni sahihi kwa mwanamke, isipokuwa kuna mwanaume sahihi kwa Mungu ( kama ni sahihi kwa Mungu, atakuwa sahihi kwako ).

Kama mwanaume hana hofu ya Mungu, sahahu kuwa na heshima kwako wewe mwanamke.. Usijdanganye kwamba utambadilisha

View attachment 2168434

9.8ms squared kwa sasa sehemu flani napata gahawa na wajukuu zangu..

Pole kwa yaliyokukuta ndugu yangu
 
😂😂🤣🤣🤣🤣 Mahondaw nacheka Mimi 🤣🤣🤣🤣..sikuzidi wewe mamii..😍😍😍😍😘😘😘😘🤗🤗🤗🤗..
Weee mie nipo kwenye zoezi la kumeintain nimekua kimodo mie💃
 
Tako Tako boss ledi uwiii🔥🔥🔥🔥
Kiuno nyigu Hadi changu na Cha depal tukiunganisha havioni ndanii..

Chuchu zimesimama nyie🔥
Nishasema humu hakunaa wa kumzidi boss ledii🔥
Mnaona sasa?
Hakuna Cha msubhate Wala nani..boss ledi amewafunika woote🔥
Hakuna ambae anasogea hata 0.000000001% kwa Nuzulati.. aki post network dunia nzima ina stuck 😎😎
 
Kama huna nguvu na hauna source ya nguvu, kwenye huu ulimwengu utateseka na mbinguni utakataliwa.. Nguvu ( energy) ndio inaendesha kila kitu ikiwa duniani ama mbinguni.. Tafuta nguvu na uendelee kuwa connected na chanzo cha hizo nguvu.. hata kupata hela unahitaji Power.. kupata amani unahitaji nguvu kila kitu kinahitaji uwe na nguvu

Asante kwa ujumbe mzuri,salama lakini mkuu?
 
Mie mwanaume.. nawashauri madogolai nyie mabinti.. inanikutaje.. 😀😀😀.. Sie wazee tushapigana vita vyote tumemaliza... alie baki wa kuniliza sasa hivi mmoja tu Nuzulati .. akimaliza huyo basi nakuwa nimealiza vita vyote
We si Mwanaume wa kulinzwa hustahili na uzee huu tunalizana wajukuu nao wafanyaje
 
Back
Top Bottom