Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Kila nikijaribu kuacha wehu bado unanishikilia😂😂😂😂Anne wee ni mwehu ujue 🤣🤣🤣🤣🤣!
Kila nikijaribu kuacha wehu bado unanishikilia😂😂😂😂Anne wee ni mwehu ujue 🤣🤣🤣🤣🤣!
Humu bosslady OG ni mmoja tu.. nae ni Nuzulati.. mbingu zinajua na ufalmwe wake wamatambua..Boss ledi ni mwisho wa matatizo
Kipenzi kanikataza eti kutupia picha humu kwa wivu![]()


Ngoja nipike kwanza saa 20:30 nakuja kutupia vitu😜😜😜Kila nikijaribu kuacha wehu bado unanishikilia😂😂😂😂
😊😊😊 ndio maana nakupenda kila saa, u msikivu sana ma mwelewaKipenzi kanikataza eti kutupia picha humu kwa wivu😬😬
Mna kitu yenu special kabisaaa.. tuta wa surprise..![]()


Taraka isikie kwa mwenzio tu usiombe ikukute na mwenzi huu mtukufu nikailie nyumbani sitakiiAcha hizo bwana![]()
Boss ledi anayefahamika Africa mashariki na duniani kote ni mahondawHumu bosslady OG ni mmoja tu.. nae ni Nuzulati.. mbingu zinajua na ufalmwe wake wamatambua..

😊😊 eeh my inspiration.. na ujasiri kusema hivyoo kwasababu ndivyo ulivyo uzuri, urembo wako sio wa mchongoUna msimamo mpaka naogopa unapambania unachoamini 😍😍
Ngoja nipike kwanza saa 20:30 nakuja kutupia vitu![]()


saa mbili nanusu will be here tuselfike tani yetuBoss ledi ni mwisho wa matatizo








Kama kawaida yako.. uswahili siyo jadi yako.Ngoja nipike kwanza saa 20:30 nakuja kutupia vitu😜😜😜
Nakutii utakacho nambie😀😊😊😊 ndio maana nakupenda kila saa, u msikivu sana ma mwelewa
Mizigo mizito ya boss ledi 😂Nasubiri kwenye kona ya kuingia selfika ukitokea tu nipo![]()
ndio maana nakupenda kila saa, u msikivu sana ma mwelewa

acha ukoloni...Ewaaaasaa mbili nanusu will be here tuselfike tani yetu![]()
😀😀😀 mchongo labda... kuna mmoja tu nae ni Nuzulati hao wengine wanafatia.. hamna kinachosekana kwa my inspiration...Boss ledi anayefahamika Africa mashariki na duniani kote ni mahondaw
Picha zake tumepeleka pale World Bank wanamalizia mchakato wa kutupa mkopo..
Na boss ledi alivyo na roho nzuri atatupia picha nyingine tumalize mchakato wa mkopo Kwa ribs nafuu😂
Kama kawaida yako.. uswahili siyo jadi yako.
Picha yako nilienda nayo CRDB pale wamenipa hela bila riba.




...Anne naunguza huku mwenzio hebu nizime data kwanza..See you mbilitatu unusu









Taraka isikie kwa mwenzio tu usiombe ikukute na mwenzi huu mtukufu nikailie nyumbani sitakii



mfungo utakua mweusi