Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ee! my inspiration ndio maana familia bora ni ile inayokuwa na mda wa kumuomba Mwenyezi Mungu kwa pamoja, zaidi ya mala tatu kwa siku.. huwa ni familia zenye amani na upendo.. maana milango ya kuingilia ibirisi hufungwa kwa dua zao kwa pamoja.. Mume anakuwa na hofu kwa Mungu, mke anakuwa na hofu kwa Mungu.. hakuna picha picha zitazo tokea hapo.. kabla Mume hajatoka mnafanya dua pamoja.. unafikiri huko kitaa atafanya utopolo.. ile dua ya asubuhi inakuwa inampa kumbuku kumbu 😎😎😎.. love you my inspiration najua hili utalifanyia kazi
Thanks love kwa elimu hii ❤️😍
 
Thanks love kwa elimu hii ❤️😍
hii ina improve sana mahusiano.. ebu sema neno.. my inspiration 😊😊
images.jpeg
images (1).jpeg
images (2).jpeg
 
Back
Top Bottom