Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi mtaniokota kwenye maporomoko ya milima ya kawetere Uyole.
24 hrs tu asubuhi zilipobaki dakika chache nilitetemeka kama mbwa mgonjwa mwenye njaa .


Yah, inategemea na dhamira yake kufunga.
Mimi nimemtia tu moyo .
24hrs huwa nazimudu. Tukiendaga prayer mountain tunafunga Ile asubuhi, jioni tunapanda mlimani; hapo ni hadi alfajiri tunafungulia then tunashuka zetu
 
Na hatutumi tena sasa maana hatuna chuchu misambwanda wala guu guu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Yaani wewe Bina na ile Algebra halafu super Tall
Kamwili portable na hapo una Reynavero..siyo kimbaombao sana kama Mimi halafu siyo tipwatipwa
Na ile dressing code yako
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe Madam Algebra
Kale kapicha ka sketi ya marinda ninako ..siku Moja nitakatumia kama avatar yangu humu
 
Back
Top Bottom