Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Kabisa.... wazungu wanapenda sana kusoma vitabu hongera sana Strawbella
Asante,nilijiandikisha library mwenyewe nikiwa darasa la 5...


Kabisa.... wazungu wanapenda sana kusoma vitabu hongera sana Strawbella


Shusha mamboAnne wewe!!
khakhaakhaaaaaa



Roger that 👍Hapana,nakuhakikishia hutojuta kabisa,even though naona kitabu kina more details than a movie...itafute..
Hujui thamani ya V wewe
Uzuri humu ni mashujaa sana.
Hadi Mimi mwenyewe shujaa aisee..na miguu yangu kama muwa ya V ila huwa naweka tu.
Waweke tu..
Ntawapamba watapambika![]()
.24hrs huwa nazimudu. Tukiendaga prayer mountain tunafunga Ile asubuhi, jioni tunapanda mlimani; hapo ni hadi alfajiri tunafungulia then tunashuka zetuMimi mtaniokota kwenye maporomoko ya milima ya kawetere Uyole.
24 hrs tu asubuhi zilipobaki dakika chache nilitetemeka kama mbwa mgonjwa mwenye njaa.
Yah, inategemea na dhamira yake kufunga.
Mimi nimemtia tu moyo .
Ana ka Tako na ka mguu kazuri.Kwani hicho ni kimbaumbau kabisa![]()
Mwee
Ipo huko juu niliwekaga.
Kwanza kabla sijaongea lolote..naomba nifungue Uzi na picha ya boss lediiii
Uzi uteteme![]()


Em muelezee kidogo🤣🤣🤣Hujui thamani ya V wewe.
Mweee24hrs huwa nazimudu. Tukiendaga prayer mountain tunafunga Ile asubuhi, jioni tunapanda mlimani; hapo ni hadi alfajiri tunafungulia then tunashuka zetu

Na hatutumi tena sasa maana hatuna chuchu misambwanda wala guu guuUtasababisha tusione baraka za wadada wengine sasa.



Hebu nipe faida zake kidogo labda nitaipenda hii miguu dahHujui thamani ya V wewe.





Nina mpango wa kupumzika kwa muda kwanza!!! Thhen nitarudiShusha mambo
Mwaka huu mbona server zitakukoma kwa picha matata
Picha zinatetemesha jf,Mimi nani nisiwe chawa???
Duhh!!shikamoo binamu24hrs huwa nazimudu. Tukiendaga prayer mountain tunafunga Ile asubuhi, jioni tunapanda mlimani; hapo ni hadi alfajiri tunafungulia then tunashuka zetu
Sisi wamatumbi sasa.
Ni Kwa mbinde tunavisoma tu shuleni
Nje na hapo Aloo ni udaku Kwa kwenda mbele.
Strawbella mzungu wa roho Ngoja aweke picha anasoma kitabu![]()


Ntakua napost ulizotumaNina mpango wa kupumzika kwa muda kwanza!!! Thhen nitarudi








Sasa wewe na ulivyo mvivu wa kula hivyo. Ila bana unaweza ukashinda njaa siku nzima kwa amani; amua kufunga sasa....Mweee
Wacha tu nipambane na 12 kwanza aisee.
Mwishowe wakute nimezimia![]()
Hahaha, sis darling tuachane na hayo kwanza, nina upako wa mfungo!Em muelezee kidogo![]()
Binamu mwanzo mgumu bana 🤣🤣
Yaani wewe Bina na ile Algebra halafu super TallNa hatutumi tena sasa maana hatuna chuchu misambwanda wala guu guu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
..siyo kimbaombao sana kama Mimi halafu siyo tipwatipwa




Wacha weee. Mfungo mwema brod darlingHahaha, sis darling tuachane na hayo kwanza, nina upako wa mfungo!