Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Hongera sana Asee mie kusoma nimeshindwa!Mimi napenda sana kusoma vitabu hata page 500 nasoma ni ka book worm fulani hivi![]()
Hongera sana Asee mie kusoma nimeshindwa!Mimi napenda sana kusoma vitabu hata page 500 nasoma ni ka book worm fulani hivi![]()
Mimi mtaniokota kwenye maporomoko ya milima ya kawetere Uyole.Sipati picha siku nikifunga 3 kavu, mtanikuta "mwimbili".
Nafikiri maandiko mengi zaidi yatategemea na kusudi la mfungo wake. (Neno la kusukumia maombi ya aina fulani, then kuna maandiko general tu)


.hata mie ni filter na kamera tu dia mie kimbaumbau tu!Filter hizo![]()
Kama kawaida yako boss lediMamboooooo!!![]()





NilipitwaAmen. Have a productive day boss lady
Mungu amtie nguvuUbarikiwe Nkamu umemfaa sana
Unanicheka badala ya kunitia nguvu kwa ushauri 😂
Irudishe picha mdogo etuAchana na Uzuma huo, check nishavua viatuHeaven s
La Kizumaridi kabisa 😂Mino moja mattatta sana... imekaa poa ✌️✌️✌️
Hapana kwa kweliIrudishe picha mdogo etu
Wengine tunataka ladha tofauti, usituzibie rizki mama!







Anne unaleta balaa humu pullliiiizzzzz!!😘😘😘😜😜😜😜Kama kawaida yako boss ledi
Shusha vitu Uzi utetemeke![]()
Hebu rudia tena picha yako uliyoamua kuwadharau wakubwa kwenuMuache Mtakatifu wa watunyumbani kwao kuna wakubwa wakushanto

Halafu wee dipa umeanza lini mambo ya dini lakini sijakuelewa sikuhizi ujue!!!🤣🤣🤣La Kizumaridi kabisa 😂
Aku 🤣🤣😂Hebu rudia tena picha yako uliyoamua kuwadharau wakubwa kwenu![]()
Hapana mkuu, sitojutia nikiitafuta?Umeona movie yake?
Atafanya wadada was selfika wawe inferior, sisi tunataka kuona vyote![]()





