Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20220321_075453_182.jpg

Kuna wakati unapitia msoto hadi unakumbuka ulichokula Juzi 🤪🤪🤪

Anyways, Good Morning to everyone here 🌅🥱🚶🚶
 
Tako Tako boss ledi uwiii🔥🔥🔥🔥
Kiuno nyigu Hadi changu na Cha depal tukiunganisha havioni ndanii..

Chuchu zimesimama nyie🔥
Nishasema humu hakunaa wa kumzidi boss ledii🔥
Mnaona sasa?
Hakuna Cha msubhate Wala nani..boss ledi amewafunika woote🔥
Utasababisha tusione baraka za wadada wengine sasa.
 
Vifungu gani vya biblia vizuri kwa mtu anaefunga tatu kavu?
3 kavu
Vifungu inategemea na mwenyewe Roho wa Mungu anapomsukuma asimamie.

Mimi nampa hili;

Mathayo 19:27-29
"Ndipo Petro akajibu,akawaambia,Tazama,sisi tumeacha vyote tukakufuata;tutapata nini basi?

Yesu akawaambia,Amin,nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi,katika ulimwengu mpya,atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake,ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israel.

Na kila mtu aliyeacha nyumba,au ndugu wa kiume au wa kike,au baba,au mama,au watoto,au mashamba,kwa ajili ya Jina langu atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele.

................
●Basi kwa ajili ya Bwana ameacha chakula kwa muda,atapokea majibu na Mungu atamtendea na kumzidishia katika mengi.

● Anafuata mwenendo na nyayo za Kristo katika utakatifu (utii) 1Petro 1:14-16,2:21-22

●Atapokea majibu kwa ushindi maana maombi ya kufunga kujitaabisha yana nguvu
Mathayo 17:21

●Kuomba kwake kwafaa sana
Yakobo 5:16-18
 
Back
Top Bottom