Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
Exactly, Uko na akili mingi. 😄Japo naju hapa unamaanisha something else![]()
Exactly, Uko na akili mingi. 😄Japo naju hapa unamaanisha something else![]()
Mimi na Shimba tunaanda sanamu lako,,tunalibandika pale juu kwenye timelineLakini kila mtu ana Uhuru wa kukomenti anavojisikia as long as havunji sheria wala kutukana mtu Japo najua kabisa Anne anatania tu nothing serious isikuumize kichwa!!
Halafu wasiwasi wako tu mkuu sie wanawake wenyewe walaaa hatuna Habari wala hio inferiority complex mbona tunaselfika zetu kwaraha zetu! Usituharibie uzi na kuleta uchochezi mkuu!
Binafsi naona kila anaepost humu huwa anasifiwa in one way or another... Watu kibao wanasifiwa wengine shingo wengine lips wengine miguu ya bia wengine shepu wengine ndevu nyingi zimekaa vizuri wengine rangi hata wanaume pia kibao tunawasifia na haifanyi wengine tushindwe kuselfika kisa hatujasifiwa hapana. Binafsi naona Amani tele imetamalaki mahala hapa sema wachache tu ndio mtauvuruga uzi!
#Freedomofexpression#
Muwe na mchana mwema!![]()




😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣! Haya ebu tupia our v shaped legs tupia nione mdogo wangu!!
Uzuri humu ni mashujaa sana.
Hadi Mimi mwenyewe shujaa aisee..na miguu yangu kama muwa ya V ila huwa naweka tu.
Waweke tu..
Ntawapamba watapambika![]()
Umeiba avatari ya Nyoka mwenye makengezaa
Nilisema Mimi humu wewe ni mzungu.Mimi napenda sana kusoma vitabu hata page 500 nasoma ni ka book worm fulani hivi![]()

Anne mie sitak maneno ujue bosi ledi hanatagi kabisa vurugu na mtu/ watu! 😂😂😜😜😜😜!!!Mimi na Shimba tunaanda sanamu lako,,tunalibandika pale juu kwenye timeline![]()
Abiud ako na nguvu sana 😂Halafu wee dipa umeanza lini mambo ya dini lakini sijakuelewa sikuhizi ujue!!!🤣🤣🤣
Nitasimama na boss ledi iwe jua iwe mvuaAnne unaleta balaa humu pullliiiizzzzz!!![]()
Nishaweka 2 umepitwa








Hapana mkuu, sitojutia nikiitafuta?
Weka tu

PoleeeeeNilipitwa
Mwee! Haya ebu tupia our v shaped legs tupia nione mdogo wangu!!
.



Ndio maana tunamuweka pale kileleni kwenye timelineAnne mie sitak maneno ujue bosi ledi hanatagi kabisa vurugu na mtu/ watu!!!!

Unanicheka badala ya kunitia nguvu kwa ushauri![]()


haya kesho jitahidi vivae hata nusu sikuYani sikuelewi kabisa!! Hizo tabia za ki Abiudi Abiudi najua ni za Saint Anne na ma mchungaji na christine1 ila sio wewe eti!😜Abiud ako na nguvu sana 😂
Anne wewe🙌🙌🙌🙌!!Ndio maana tunamuweka pale kileleni kwenye timeline
Boss ledi mtu wa watu.
Nani anabisha??![]()
Sisi wamatumbi sasa.Kabisa.... wazungu wanapenda sana kusoma vitabu hongera sana Strawbella

Kwani hicho ni kimbaumbau kabisaSiku hizi unatupenda vimbaumbau?![]()

