Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa adha niliyoipata sitaki mwanangu apate aseeh[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Super imran,pedestrians team Temeke,Ipembe kwa team mwenge!!!weee sina hamu na hivi vitoto vitafeli tu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Boarding ni nzuri sana maana inajenga mtoto kitabia ... Huwa nawaonea huruma unakuta mtoto saa kumi na moja alfajiri ,yupo anaenda shule ya diamond au bunge huko mjini .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Kua uyaone[emoji1][emoji1][emoji1]siku moja kaamka kanambia Leo siendi shule!nkamuacha home hyo std 1 ,5yrs!kwa kua ni mwl I know how study saikolojia zao!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom