cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Yes vipaji mie.Weee!!hongera sana asehh!wakishua au vipajii nyie
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app


Yes vipaji mie.Weee!!hongera sana asehh!wakishua au vipajii nyie
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app


Katokelezeaa mnooo.
Ahsante dear,amiyn kipenzi tuombeane sana kulea changamoto mnooOoh Asante kwa ufafanuzi ila watakuwa sawa tu kadri muda unavyozidi kwenda ,stay strong.
Ndoa gani 🤣🤣Siku ya ndoa hii?![]()
Kabisa kumbe unajielewaNa upara kama wa Le Profeseli 😀😀😀.. nahisi uzeeni nitakuwa mkuda sanaaaa
Boarding ni nzuri sana maana inajenga mtoto kitabia ... Huwa nawaonea huruma unakuta mtoto saa kumi na moja alfajiri ,yupo anaenda shule ya diamond au bunge huko mjini .Kwa adha niliyoipata sitaki mwanangu apate aseehSuper imran,pedestrians team Temeke,Ipembe kwa team mwenge!!!weee sina hamu na hivi vitoto vitafeli tu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
😢 mwamba alidanja haraka sana.. ingawa inawezekana akawa ndugu yangu.. maana wazazi walikuwaga huko.. isije ikawa damu yangu kabisaNdugu yake
Steve Biko![]()
Sehemu ili muhimuUnaziba mno
Sehemu muhimu
KabisaKatukosea sana
Kua uyaonekhaaaaah


siku moja kaamka kanambia Leo siendi shule!nkamuacha home hyo std 1 ,5yrs!kwa kua ni mwl I know how study saikolojia zao!!Utanitunza tunzaaa ili uparaaa upoteee.. kijana mdogo kuwa na upara nomaaa na mie nakupa mashamba yote.. 😀😀😀😀😀Kabisa kumbe unajielewa
😂😂 snap oyeeeBeautiful
Hii nayo inakuwaga nzuri balaa , unatokea mrembo huyo kumbe sasa .
Hahahaha sanpchat ni balaaMpk naziogopa snap chatzinanifanya niwe kama kamdolii
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Yaani urembo haswaaaHahahaha sanpchat ni balaa
Inakufanya uwe mcute .
Fortnox umemuacha wapi?Utanitunza tunzaaa ili uparaaa upoteee.. kijana mdogo kuwa na upara nomaaa na mie nakupa mashamba yote..![]()
Bado kuna nafasi ya kuselfika na ingine mkuu.Hako kadomo kametokea vibaya ile mbaya
Hii ilikuwa video najirecord ndo nimescreenshot
Mungu ni mwema hakika mambo yataenda sawa .Ahsante dear,amiyn kipenzi tuombeane sana kulea changamoto mnoo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Huo upara ni mzuri ni taupalilia unawili upara huwa una amsha amsha mkuu😬Utanitunza tunzaaa ili uparaaa upoteee.. kijana mdogo kuwa na upara nomaaa na mie nakupa mashamba yote.. 😀😀😀😀😀