Ndiyo mshangaane ninyi wanaume mnaosema zinatanuka wakati siku zote ziko elastic! Nimekazia hapo sababu huwa nachukia nikikuta wanawake tunasemwa na the so called wanaume hasa kwenye suala la maumbile na ngono ambayo mnafanya wote!
Exactly na ndicho ninachowashangaa hawa wanaume wa kiafrika! Huwa wanaassume kwamba mwanamke ukifika umri fulani hujaolewa basi utakuwa na mkosi na utakuwa malaya tu hivyo hata pale makao makuu mlango utakuwa umeongezeka ukubwa!
Ndiyo mshangaane ninyi wanaume mnaosema zinatanuka wakati siku zote ziko elastic! Nimekazia hapo sababu huwa nachukia nikikuta wanawake tunasemwa na the so called wanaume hasa kwenye suala la maumbile!