shida ni kutojua unae date nae au ku hang nae upeo wake,Kasoro yenu wadada n 1 tu
mkipenda mnapenda haswaaa mnaingia kiwiliwili mpk kiwiko mpk visigino vyote unadumbukia
huo tu ndio udhaifu wenu,mnapopenda kuna mambo ya privacy mnayasahau mnayaacha nyuma
Unapoenda have fun mahali yoyote nadhani ukitoka pale habari za pale unaziacha pale pale
sex si jambo la kwenda simuliana ilikua hv ilikua vile alikuja hv alikuja vile,as long as umeshakata kiu yako
sepa quitely muache aseme huko huna thamani,kwanza unamskia saa ngapi akisema wakat ushayeyuka.
ni sawa na mtu akutukane matusi ya nguoni halafu anakutukana kwa kikabila chao,hivi utaumia kabsaaa?!!