Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Mukamu utaghile kapicha umusughu..
Nilishasema humu kwamba boss ledi hata avae gunia bado atapendeza tu!Uchawa unauweza
Hapo ndio imetoka mkuuKuna na kaugali pembeni au ndo imetoka hiyo?
Brother unakuta tayari umempa moyo , yaani umempenda, umewekeza nguvu, hela, moyo , na pengine muda. Unakuja kushtuka Baade kidogo kwa signal ndogo ndogo fulani amemlala, fulani amemlala na fulani pia!!!!Mabaharia huwa wanasema kuwa hainaga makombo. Hata kama walishapita naye so what? Kwani unataka kuoa? Si na wewe unapiga tu na kusepa unawaachia wanaokuja nyuma yako?
It is like a swimming pool. Don't ask who swam before you or who will swim after you. Just swim when it is your turn...and pee in it if you can...and then leave!
Brother unakuta tayari umempa moyo , yaani umempenda, umewekeza nguvu, hela, moyo , na pengine muda. Unakuja kushtuka Baade kidogo kwa signal ndogo ndogo fulani amemlala, fulani amemlala na fulani pia!!!!
Brother najua unajua ukiweka moyo sehemu alafu ukutana na matarajio kinyume!!!
Ila mwanamke aisee mpaka anamaliza safari yake ya maisha anakuwa amepitiwa na wengi sio kidogo.
Nadhani wanahitaji mabadiriko kidogo ya management ili kuendana na kasi ya maendeleo iliyopo.Hakuna usafiri wa hovyo kama huu
Jumapili nyingine tena MUNGU ameileta kwetu,kutupa nafasi ya kuutafakari ukuu wake.
Ni muda mzuri wa kuyafurahia maisha,kusamehe,kujifunza,kusawazisha na kujenga upya palipo bomoka.
Zaburi 40:4-5
[4]Heri aliyemfanya BWANA kuwa tumaini lake,
Wala hakuwaelekea wenye kiburi,
Wala hao wanaogeukia uongo.
[5]Ee BWANA, Mungu wangu, umefanya kwa wingi
Miujiza yako na mawazo yako kwetu;
Hakuna awezaye kufananishwa nawe;
Kama ningependa kuyatangaza na kuyahubiri,
Ni mengi sana hayahesabiki.
Ikawe jumapili njema kwetu sotee.View attachment 2165600
Amen nakwako pia Msukuma! Have a wonderful and blessed Sunday best!!
Unataka kusemaKwa kinyaki mpumbavu ni "nkonyofu". Sijajua kama linatumika na kwa mjinga pia au inakuwa vipi maana kinyaki sijakimaster vizuri huwa naokotezaga tu baadhi ya maneno watu wakiongea.
Acha bhasTuliokulia vijijini tunaelewa.
IkoloyeMabaharia huwa wanasema kuwa hainaga makombo. Hata kama walishapita naye so what? Kwani unataka kuoa? Si na wewe unapiga tu na kusepa unawaachia wanaokuja nyuma yako?
It is like a swimming pool. Don't ask who swam before you or who will swim after you. Just swim when it is your turn...and pee in it if you can...and then leave!
Ikoloye
Ong'waga gasebu nolo ganelezu
Pee in what