cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Sirudii tena aisee. Hata sijui nilipatwa na nini yaani. Dogo kanyoa panki mwembamba kama Kokastiki mlegevu legevu jomonii tyuuh lakini akiikanyaga hii kitu weh!
Nitakutafuta aisee. RR kutoka Dar mpaka Mza mbona itapendeza mno? Thanks for the offer chief![]()







ila hadi babuuuh unaninangaa hivi. Haya bhana, nitawaacha wenyewe humu, ntaenda kupambana na majukwaa mengine tyuuh.


