Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sirudii tena aisee. Hata sijui nilipatwa na nini yaani. Dogo kanyoa panki mwembamba kama Kokastiki mlegevu legevu jomonii tyuuh lakini akiikanyaga hii kitu weh!

Nitakutafuta aisee. RR kutoka Dar mpaka Mza mbona itapendeza mno? Thanks for the offer chief
ila hadi babuuuh unaninangaa hivi.
Haya bhana, nitawaacha wenyewe humu, ntaenda kupambana na majukwaa mengine tyuuh.
 
Kiti cha enzi kiti cha sifa
Nyenyekea utapata majibu
Kiti cha ..,
Amini amini kuna jibu

Anajua maumivu
Anaona na machozi
Yeye ni Baba Yeye Mlezi
Daima Dakika Daima.

Ndiyo yake moja inabadili maisha
Ndiyo yake moja huleta amani
Akisema sawa utaheshimishwa
Mwite tu,mwite tu ,mwite tu!
 
Nakutazama rafiki wa karibu
Ni nani anipendaye kama wewe
Nakutazama mpenzi wa karibu
Hakuna anipendaye kama wewe
Nakutazama mtetezi wa Mimi
Ni nani anipendaye kama wewe


Nimekutana na Watu wengine duniani
Hakuna aliye mwema kama wewe
Wengi walinipenda nilipokuwa na raha
Wakati wa tabu zangu wote walinikimbia
Lakini nilipokutana na magumu wote walikimbia kwangu
Lakini nilipokutana na magumu wote wakakimbia kwangu
Hujawahi nikataa aah
Wewe ni Baba unipendaye kweli
Hujawahi nikataa aah wewe ni Baba unipendaye kweli
 
Kila siku zinavyoendelea nazidi tambua
Kumbe adui wa mtu ni wa karibu mno
Kila siku zisogeapo nazidi tambua kumbe adui wa mtu ni wa karibu mno
Awezaye kujeruhi moyo
Awezaye kukutesa
Hatoki mbali
Ni wa karibu mno
Awezaye kuumiza moyo
Awezaye kukuletea jeraha
Hatoki mbali
Ni wa karibu mno

Nilipoumizwa na mtu wa karibu sana
Nikasema basi ni nani wa karibu nami
Katika kufikiri hayo
Nikajua Mungu pekeyake ni wa karibu mno
Nikajua kumbe wengi waneumizwa na Watu wa karibu
Nikatiwa nguvu ya kuendelea


Unapomsoma Yesu kwamba alisalitiwa
Waliomsaliti ni wa karibu mno
Unapomsoma Yusufu aliuzwa utumwani
Waliomuuza ni wa karibu mno
Unapomsoma Habili kwamba aliuawa
Waliomuua ni wa karibu mno


Ndipo nikajua mtu wa karibu ni Mungu tu mganga mkuu maishani mwangu uuh
Njoo yesu njoo
Umebaki mwenyewe
Njoo Yesu
Utugange mioyo
 
Hongera mkuu umeandika kwa marefu na mapana yake, umegusa kila kona, kikubwa uzima tu lakini mapenzi ya huku ni pasua kichwa kweli, unaweza kupata mtu wako huku ukajivunia nae kumbe wadau wanakuchora tu walisha pita nae kitambo.
Ngoja tuendelee kuona , miji mikubwa hii!
Mabaharia huwa wanasema kuwa hainaga makombo. Hata kama walishapita naye so what? Kwani unataka kuoa? Si na wewe unapiga tu na kusepa unawaachia wanaokuja nyuma yako?

It is like a swimming pool. Don't ask who swam before you or who will swim after you. Just swim when it is your turn...and pee in it if you can...and then leave!
 
Back
Top Bottom