Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

"veve wa mbugila"
Jaman mwenyeji had nimecheka khaaah.
Kwan lakini? Uwiiiiiih
Duuh kumbe hili mbugila ni kingoni? Kuna mwalimu wetu mmoja mchaga alikuwa anapenda kusema "ninyi ni mambugila" kama akiuliza swali halafu darasa zima mkashindwa kujibu basi nikawa nadhani ni neno la kiswahili ila linatumika sana uchagani!
 
Duuh kumbe hili mbugila ni kingoni? Kuna mwalimu wetu mmoja mchaga alikuwa anapenda kusema "ninyi ni mambugila" kama akiuliza swali halafu darasa zima mkashindwa kujibu basi nikawa nadhani ni neno la kiswahili ila linatumika sana uchagani!
Kwa wahehe mbugila ni mtu mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saint Anne gwe!
IMG_20220326_221321_653~2.jpg


Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom