Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Sirudii tena aisee. Hata sijui nilipatwa na nini yaani. Dogo kanyoa panki mwembamba kama Kokastiki mlegevu legevu jomonii tyuuh lakini akiikanyaga hii kitu weh!Hahaha mzee wangu ukapiga salutehao vijana watakuua usikimbizane nao siku ukirudi bongo plz check me nikupeleke kwenu tutembee na ule mkeka
Nitakutafuta aisee. RR kutoka Dar mpaka Mza mbona itapendeza mno? Thanks for the offer chief






