Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it



Nifundishe kusema "We ni mjinga" ila kwanamna ambayo nikitabasamu mtu adhani namsifia
Hahahaaa huo umafia umeanza lini

Mie kingoni wala sikijui my dear ni hilo neno tu na ni vile kuna mabasi yanaendaga huko kusini yanaitwa tavavili niliambiwaga ni kingoni maana yake tuko wawili

Ngoja tumuite cocastic mlongo aje atufundishe
 
Sana my dear yaani jinsia ambayo inajisifia kuwa inatumia logic na siyo hisia nilitegemea itumie logic hata kwenye mambo madogo tu kama haya

Kwamba other things being constant kwenye tendo linalohusisha watu wawili hauwezi kusema mmoja anakosea na mwingine yuko sahihi that is not logic

Same applies to wanavyotukana single mothers na kuona single fathers wako sahihi kana kwamba single mother alizaa na kiumbe kingine na single father alizaa na kiumbe kingine

Inauma sana vile mwanamke anavyochukuliwa kwenye jamii . Sijui lini mambo yatabadilika , mwanamke akiachana na mumewe , watu wanaona yeye ndo mwenye makosa .. watu hawangalii kabisa tatizo lipo kwa nani .
 
Naona leo uzi umejaa ishu za mitongozo, male besties na friendzones. Kulikoni?
View attachment 2165318
Screenshot_20220326-140317.jpg
 
Back
Top Bottom