Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bado sipo ..
Ila naona kabisa shughuli yake si ndogo , ni lifetime commitment hivyo inahitaji uvumilivu wa haja kwa wanawake .

Ukitaka mambo yaende vile unataka inabidi uchague moja kati ya mume au wewe kuondoka hapo .

Nikisoma na Mwanzo 3:6 napata majibu ...
Kisha akamwambia mwanamke, “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”
Nenda kwenye ndoa kama wajibu, usiende kwa matarajio fulani, wakati mwingine matokeo yanakuwa tofauti sana na matarajio, ukikutana na matokeo tofauti na ulivyotarajia usijali.
Pia usikariri kwamba ndoa inakua hivi au vile kwa marejeo ya vitabu au ndoa za wazee wetu, nyakati zimebadilika mno.

Hata hivyo bado ndoa ni muhimu na nzuri pia.
 
Nenda kwenye ndoa kama wajibu, usiende kwa matarajio fulani, wakati mwingine matokeo yanakuwa tofauti sana na matarajio, ukikutana na matokeo tofauti na ulivyotarajia usijali.
Pia usikariri kwamba ndoa inakua hivi au vile kwa marejeo ya vitabu au ndoa za wazee wetu, nyakati zimebadilika mno.

Hata hivyo bado ndoa ni muhimu na nzuri pia.

Sijasema ndoa ikoje maana siifahamu
Kwa nilivyoshuhudia acha tu niende na mtazamo wangu .. Najua ndoa ni nzuri mno pia ...
 
Back
Top Bottom