Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Msukuma gani tena jamaniNajiandaa kumpiga msukuma mmoja hapa
Msukuma gani tena jamaniNajiandaa kumpiga msukuma mmoja hapa
Bado sipo ..Umo ndoani au unasimuliwa tu na mashosti zako?
Kwa nini ndoa si mchezo?![]()
🤗🤗🤗🤗🤗🤗Naingia naendesha bodaboda
Ka msisimko
anajijuwaaa.. namchalaza pesa ndefu sasa hivi ya out.. 😀😀😀Msukuma gani tena jamani
😃😃😃Usiwe na wasiwasi binti yangu. Siyo mimi![]()
Wee babu ni muongo, wako wengi tyuuh wife materials,Nakuelewa sana. Wanawake wapo wengi wa kupelekea moto tu lakini ukianza kutafuta yule mmoja mteule wa kuweka kambi ya kudumu mpaka kifo aisee ni mtihani mgumu sana wa Cambridge cha mtoto![]()






Bado sipo ..
Ila naona kabisa shughuli yake si ndogo , ni lifetime commitment hivyo inahitaji uvumilivu wa haja kwa wanawake .
Ukitaka mambo yaende vile unataka inabidi uchague moja kati ya mume au wewe kuondoka hapo .
Nikisoma na Mwanzo 3:6 napata majibu ...
Kisha akamwambia mwanamke, “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”
Kwamba hutaki kuamini au?😬😬Napinga
Hahahah Kaka unalazimisha tutoe saresikubali kaka lazima twende sawa.. napiga kahawa na redbul.. natoka nitafute chaka la motoo kabisaaa..

nenda pale samaki spot Kaka hutaborekaMi simo hapoanajijuwaaa.. namchalaza pesa ndefu sasa hivi ya out.. 😀😀😀
😀😀😀😀.. kaisha elekea kiblaKwa Msukuma utabondwa mpaka uombe poo. Don't even try![]()
Hata kama sina hiyo experience , naelewa kwa angle tofauti
Kumbee..kipendhi na wewe uko na info nyingi![]()




kipenziii nisijue kuhusu babuuu yangu tena? HazitokiWala unatoa kidog tyuuh![]()
Basi tena!
Vitu vya hatari vipo.. maana kama hamna viti vya hatari nitaanza zunguka mji kama striker asie na mipango 😀😀Hahahah Kaka unalazimisha tutoe sarenenda pale samaki spot Kaka hutaboreka
Kabisa napinga tumikono lainii tunawezaje kuendesha bodaboda😬Kwamba hutaki kuamini au?