Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kesho ntakurekodia ka clipUnaweza kunifundisha mpendwa nije kukuona jinsi vile unaendesha❤️
Kesho ntakurekodia ka clipUnaweza kunifundisha mpendwa nije kukuona jinsi vile unaendesha❤️
Hebu leta hiyo boda mie niizungushe. Aiseeeh kujua kuendesha vyombo vya usafiri raha mno.Si umeniignoo; mimi nikapigwa tu upepo hapo




Mama wa kukanyaga mafuta tyuuuhHebu leta hiyo boda mie niizungushe. Aiseeeh kujua kuendesha vyombo vya usafiri raha mno.![]()
Ujue nimekaa hapa mapokezi 😊😊Si umeniignoo; mimi nikapigwa tu upepo hapo
Msalimie huyo mwanadada wa hapo karibu yako.We mwanadada wewe![]()





Ubongo huwa unatunza kumbukumbu mi kazi yangu itakuwa kukumbusha😃Kesho ntakurekodia ka clip
Hukuona ka kimbaumbau kamevaa dera hapo kanashangaa shangaa?Ujue nimekaa hapa mapokezi 😊😊View attachment 2165487
Mama wa kukanyaga mafuta tyuuuh






mama malezi. Mi sijasema kitu sis....
Ubarikiwe tu kwa sababu hakuna namna. Na muda wa kuingia ndoani ukifika Mungu Akupe mwanaume mwema mtakayechukuliana katika madhaifu yote mpaka utimilifu wenu![]()
Khaa shikamoomama malezi.
Hapa soon nataka nijifunze kuendesha lorry
😀😀😀😀 watu wakuda sanaaa.. acha nichape. maji nisogee hayo maeneoUngemwambia pumbavu wew maboss Kama sisi hatupimwi kwa macho
Safi Sana tajiri mutoto upo hotel gani nikuagizie mtoto akufanyie massage
mie huyu ndio wa kuninyanyasa hivi ☺️☺️☺️.. sawa acha nijiandae niende maeneo pendwaaaHukuona ka kimbaumbau kamevaa dera hapo kanashangaa shangaa?




"veve wa mbugila"Marhaba, nataka nijue kuendesha vitu vingi mie.Khaa shikamoo
Nenda mkuu Hawa akina Heaven Sent Wana vipengele vingimie huyu ndio wa kuninyanyasa hivi.. sawa acha nijiandae niende maeneo pendwaaa
Usiogope mdogo angu..Bado sipo ..
Ila naona kabisa shughuli yake si ndogo , ni lifetime commitment hivyo inahitaji uvumilivu wa haja kwa wanawake .
Ukitaka mambo yaende vile unataka inabidi uchague moja kati ya mume au wewe kuondoka hapo .
Nikisoma na Mwanzo 3:6 napata majibu ...
Kisha akamwambia mwanamke, “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”