Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee babu ni muongo, wako wengi tyuuh wife materials,
Sema myie mnataka wawe na tako lol
Mjukuu bwana. Kila mtu ana wife materials wake anayemtaka. Haya ni mambo tata na huwezi kuyafanyia majumuisho ya jumla. Tako kwa wengine wala siyo ishu kivile. Wengine tu wanataka mtu mwelewa decent asiye na makelele...aaaaarghhh !!!
 
Fortnox nimekutana na dhari hapa na muhuduma kafa kaoza sijui kwakua ni mchafu anajua nina mawe kutoka chunya.. alafu nalipia suite.. ila haamini maana mlinzi mwenye alitaga niletea ukuda akinitazama chini miguu imepauka, nimevaa malapa, kichwa upara kina vumbi ndefu zimechakaa
Ungemwambia pumbavu wew maboss Kama sisi hatupimwi kwa macho
 
Back
Top Bottom