Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20220326-WA0015.jpg
 
Ninao wanawake kadhaa maishani ambao ni rafiki wema sana kwangu,najivunia sana kufahamiana nao.
Hongereni wote mlio rafiki wema,MUNGU awabariki na kuwazidishia zaidi ya uhitaji wenu,tunawapenda sanaa.


Close friends are truly life’s treasures. Sometimes they know us better than we know ourselves. With gentle honesty, they are there to guide and support us, to share our laughter and our tears. Their presence reminds us that we are never really aloneView attachment 2165320
Unafaa kuwa mwanasiasa!
 
Unafaa kuwa mwanasiasa!
Honestly speaking,hii kitu haijawahi na haita wahi kuja kuwa passion yangu, never. Siichukii siasa,ila nawachukia sana wanasiasa,ni watu wenye ndimi mbili,yaani jana aliwaambia hili,kesho analigeuza.

Mahali nilipoweka kibanda changu,kulikuwa na mpango wa kuweka lami zaidi ya miaka 5 nyuma mpaka leo ni danadanaa.

Aisee chief,hapo umekosea.
 
kwa kweli , bado tuna safari ndefu .
Sana my dear yaani jinsia ambayo inajisifia kuwa inatumia logic na siyo hisia nilitegemea itumie logic hata kwenye mambo madogo tu kama haya

Kwamba other things being constant kwenye tendo linalohusisha watu wawili hauwezi kusema mmoja anakosea na mwingine yuko sahihi that is not logic

Same applies to wanavyotukana single mothers na kuona single fathers wako sahihi kana kwamba single mother alizaa na kiumbe kingine na single father alizaa na kiumbe kingine
 
Back
Top Bottom