Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama malezi huyooo, hujawahi niangusha yaan
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nipo msukuma nivile nasoma tu na kupita mie sio muongeaji kabisa.... watu wana freedom of expression msukuma let them speak wasisahau kuutendea haki uzi tu..
Boss ledi ndani ya mjengo[emoji2956][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeh
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nipo msukuma nivile nasoma tu na kupita mie sio muongeaji kabisa.... watu wana freedom of expression msukuma let them speak wasisahau kuutendea haki uzi tu..
Mijadala tu leo siku nzima yaani. Hebu angalau selfika hata kama ni picha ya zamani tubadili mwelekeo kidogo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, uwiiiiiih
 
Hehe wanakuambia eti unatakiwa ujiongeze kwamba mwanaume akikuomba namba basi ujue hakuna kingine anachohitaji kutoka kwako zaidi ya pale kati tu! Pathetic!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah we
 
Hehe halafu mwisho wa siku mwanamke anaitwa malaya while mwanaume anaitwa kidume! Hivi vichekesho vikogo kwenye haya mabara yetu ya giza tu Mungu Atusaidie sana kwa kweli!
Wallah leo nacheka km chizi hapa uwiiiih. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada leo umechachuka, nakuelewa pin zako ktk mada ya hivi hahahah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tavavili, maana yake tupo wawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…