Nimekuelewa tangu mwanzoni; but I was trying to say kuwa kuna exceptions. Kuna mtu anakutreat tu nicely, unaweza ukahisi na kutamani kabisa mtongozo wake; ila usiusikie kamwe; au akasubiri hadi siku mmeonana ndiyo akakufungukia. Na kuna wale wajinga wachache ambao approaches zao tu zinakufanya uwalime block.
Point yangu ilikuwa kuna wakati itakubidi usubiri mtu atamke ndiyo umwambie you are not interested, au kama itatokea kwenye stories mtaongelea mahusiano then unaweza kumpa hint au kwa wenye zile approaches zao za kidwanzi; wale unawachana tu hapohapo
Boss ledi ndani ya mjengonipo msukuma nivile nasoma tu na kupita mie sio muongeaji kabisa.... watu wana freedom of expression msukuma let them speak wasisahau kuutendea haki uzi tu..
Mnoo!I have male friends nimewapata humu hawajawahi hata kuonesha dalili za kutongoza hata siku moja na wengine ukiwakataa wanaelewa sana tu na heshima inabaki pale pale mnapeana michongo mingine tu!!
Kuna wale wanaamini mitandaoni ndo kuna mabinti wanapatikana kirahisi wkati sio kweli
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ni event ya Malkia wa nguvu 2022 hapa Mlimani City.Me mwenyewe nimekutia kati
Ila ilikuwa ni kama katamasha flani, lit speech & lit live band.
Maua Sama alikuwa anaimba Zai’
Ameimba vizuri kweli
Wapi hiyooo babuuh.View attachment 2165215
Waswahili wanasema Kaa mbele uwahi kufika, ngoja nijaribu leo kama nitawahi
Happy Saturday to you all
Kina kina sisi ambao ku-flirt ni sehemu ya nature yetu...basi mtu akija kizembe anajua usha catch feelings.
Naona leo uzi umejaa ishu za mitongozo, male besties na friendzones. Kulikoni?
View attachment 2165318
Mijadala tu leo siku nzima yaani. Hebu angalau selfika hata kama ni picha ya zamani tubadili mwelekeo kidogo.nipo msukuma nivile nasoma tu na kupita mie sio muongeaji kabisa.... watu wana freedom of expression msukuma let them speak wasisahau kuutendea haki uzi tu..
Haha ngoja niendelee kufikiriafikiria nikiona it's necessary kulianzishia uzi nitafanya hivyo au pia unaweza anzisha hata wewe labda ndiyo utaeleweka vizuri
Hata mimi ninaamini urafiki bila ngono kati ya me na ke unawezekana kabisa ila tatizo ukisikiliza maneno ya wanaume wengi dada unaweza ukasikitika sana asee
Suala la kukulana kimasihara katika jamii ambayo wanaume wanajua hadi kusoma mileage za papuchi bado sana sababu mwisho wa siku anayedhalilishwa ni mwanamke
Hehe wanakuambia eti unatakiwa ujiongeze kwamba mwanaume akikuomba namba basi ujue hakuna kingine anachohitaji kutoka kwako zaidi ya pale kati tu! Pathetic!
Wallah leo nacheka km chizi hapa uwiiiih.Hehe halafu mwisho wa siku mwanamke anaitwa malaya while mwanaume anaitwa kidume! Hivi vichekesho vikogo kwenye haya mabara yetu ya giza tu Mungu Atusaidie sana kwa kweli!
Haha asante nitakunywa maji tu mdogo wanguDada naomba nikutoe out, bill juu yangu
Umeongea kitu cha maana mno.
Sana my dear yaani jinsia ambayo inajisifia kuwa inatumia logic na siyo hisia nilitegemea itumie logic hata kwenye mambo madogo tu kama haya
Kwamba other things being constant kwenye tendo linalohusisha watu wawili hauwezi kusema mmoja anakosea na mwingine yuko sahihi that is not logic
Same applies to wanavyotukana single mothers na kuona single fathers wako sahihi kana kwamba single mother alizaa na kiumbe kingine na single father alizaa na kiumbe kingine
Hahahaaa huo umafia umeanza lini
Mie kingoni wala sikijui my dear ni hilo neno tu na ni vile kuna mabasi yanaendaga huko kusini yanaitwa tavavili niliambiwaga ni kingoni maana yake tuko wawili
Ngoja tumuite cocastic mlongo aje atufundishe
Ndani ya baibuiSikuhizi sitaki maneno na watu msukuma... jana yangu iliisha hivo!!!!View attachment 2165435
Unataka kujua nn mwenyeji?Wakati mwingine inabidi
Aje asaidie kuokoa jahazi