Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chama ni kubwa kiongozi!
Kama unatoka Mbezi ukifika kwa Mangi usivuke daraja la juu la kwenda Mloganzila upande wa kulia.

Ukitokea maili1 upande huo wa k ushoto ukivuka Gogoni unaingia K'Shule then K'Chama kama unapanda public transport waambie wakushushe Kibamba Chama ukiuliza unaletwa faster tu hata kwa mguu kama sio mvivu
 
Naona leo uzi umejaa ishu za mitongozo, male besties na friendzones. Kulikoni?
633246862.jpg
 
Kama unatoka Mbezi ukifika kwa Mangi usivuke daraja la juu la kwenda Mloganzila upande wa kulia.

Ukitokea maili1 upande huo wa k ushoto ukivuka Gogoni unaingia K'Shule then K'Chama kama unapanda public transport waambie wakushushe Kibamba Chama ukiuliza unaletwa faster tu hata kwa mguu kama sio mvivu
Ni umbali gani toka ilipokuwa wilaya?
 
Em anzisha uzi siku moja; tusikie from men's perspective. Inawezekana sisi tumeshindwa kuwaelewa. Ila Mimi ninachoamini ni kwamba; urafiki wa dhati kati ya ke na me unawezekana kabisa, pasipo kuhusisha ngono.

Wakati mwingine unashindwa hata kumtreat me vizuri; maana ukimchekea tu anahisi huyu tayari ameshaingia laini, kumbe hata wazo huna
Haha ngoja niendelee kufikiriafikiria nikiona it's necessary kulianzishia uzi nitafanya hivyo au pia unaweza anzisha hata wewe labda ndiyo utaeleweka vizuri

Hata mimi ninaamini urafiki bila ngono kati ya me na ke unawezekana kabisa ila tatizo ukisikiliza maneno ya wanaume wengi dada unaweza ukasikitika sana asee

Suala la kukulana kimasihara katika jamii ambayo wanaume wanajua hadi kusoma mileage za papuchi bado sana sababu mwisho wa siku anayedhalilishwa ni mwanamke
 
Safi sana, tangaza bei kabisa mzee. Utapata clients wengi kupitia hapa, hasa wa Kimara, Mbezi, Kibamba hadi Kiluvya.
Mkuu mi mkaazi tu sio mfanyabiashara ukija naweza kuelekeza chimbo ukapata nyama nzuri

Bia local ndogo hapa ni tsh. 2,000 za nje sijui maana sio mtumiaji, nyama
Mkono 10k
Salala 10k
Paja 15k had 14k
Mbavu 15k
 
Ninao wanawake kadhaa maishani ambao ni rafiki wema sana kwangu,najivunia sana kufahamiana nao.
Hongereni wote mlio rafiki wema,MUNGU awabariki na kuwazidishia zaidi ya uhitaji wenu,tunawapenda sanaa.


Close friends are truly life’s treasures. Sometimes they know us better than we know ourselves. With gentle honesty, they are there to guide and support us, to share our laughter and our tears. Their presence reminds us that we are never really alone
IMG-20211105-WA0013.jpg
 
Sasa yeye atajuaje kama huyo mtu atamtongoza? Imagine mtu kakusalimia tu; unaanza kumwambia "sihitaji mahusiano kwa sasa". Kwamba Kila me anakuja tu kukutongoza? Au mimi ndiyo sielewi haya mambo, najifanya msemaji wa wanaume?
Hehe wanakuambia eti unatakiwa ujiongeze kwamba mwanaume akikuomba namba basi ujue hakuna kingine anachohitaji kutoka kwako zaidi ya pale kati tu! Pathetic!
 
Back
Top Bottom