Selfika na JF: Snap it. Show it

Dada naomba nikutoe out, bill juu yangu

Umeongea kitu cha maana mno.
 
ila dada una upiga mwingi mnoo.
 
wee fidodido hebu soma hapa lol.
 
Sasa yeye atajuaje kama huyo mtu atamtongoza? Imagine mtu kakusalimia tu; unaanza kumwambia "sihitaji mahusiano kwa sasa". Kwamba Kila me anakuja tu kukutongoza? Au mimi ndiyo sielewi haya mambo, najifanya msemaji wa wanaume?
 
Boss Lady angekuwepo hapa usingeona mijadala hii ya ajabu ajabu. Picha yake moja tu inazima mijadala yote mara moja. Sijui leo kapotelea wapi. Shida tupu yaani!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nipo msukuma nivile nasoma tu na kupita mie sio muongeaji kabisa.... watu wana freedom of expression msukuma let them speak wasisahau kuutendea haki uzi tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…