Sie kwetu wale ndo mboga pendwaa.Hahahaa kweli mazoea, me walinishinda eti



Weeee
Yan kwamba huyo mmiliki wa passo ndiye mama Debora
Jf ngumu sana hii






khaaaaaahMtoko mwingine nitaomba unipeleke, nimechoka Kuibiwa 🙈😂😂😂😂😂 ukome na ujifunze
🤣🤣🤣 shwainiClinic ya nyokooooo?![]()
🤣🤣🤣🤣 usijali babuMtoko mwingine nitaomba unipeleke, nimechoka Kuibiwa 🙈
Dagaa la peanut butter 🤣🤣🤣🤣
Tumia karanga nawee lol
Asante kujali, na wallet ya hela utabeba wewe ili kuepusha kurusha hela na kutunza wasanii 🤪🤪🤣🤣🤣🤣 usijali babu
Unishtue tu mapema
😂😂😂🤣 naandaa mshangazi kaja, shaka ondoa.Asante kujali, na wallet ya hela utabeba wewe ili kuepusha kurusha hela na kutunza wasanii 🤪🤪
Huyu Wigelekelo atakuambia sina mapenzi, na cheat, sina ubinadamu etc...
Lakini jitahidi mpenzi, kuwa na subira....kuwa na maamuzi,
Embu chukua maamuzi we mjuzi mkufunzi, acha hizo za Wige ni makuzi upuuzi....

Si nayo naichukua tu nakuachia mgauni wangu wa mke wa Abiudi.Suruali si nimevaa? Ni 39
Ndio hilohiloWeeee
Yan kwamba huyo mmiliki wa passo ndiye mama Debora
Jf ngumu sana hii

39 ni ndogo? We unatania 🤣Si nayo naichukua tu nakuachia mgauni wangu wa mke wa Abiudi.
Kumbe una kamguu kadogo.
Usipate shida Mjukuu, nenda saluni then unitumie bill yako
🤣🤣🤣🤣 sasa mlijuaje?Ndio hilohilo
Linavamia watu na kuwachamba
Kumbe we mlango tyuuh?shwaini
Kaaa hapo, mwenzio mlango wa labor naujua.







