Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Badae uende salun au huna hela💅
Hazijafanyiwa manicure hata
Badae uende salun au huna hela💅
Hazijafanyiwa manicure hata
Una allergy au wa kishua dagaa ukila zakuwasha ulimi![]()



hapana bhana Jah kaniniyima appetite ya kutumia vyakula vingi, ndo maana sipendi kwenda ugenini naweza wakera na kusumbua watu buree.Kuna kipindi tuliletewa ndoo nzima, aaah dagaa wabaya wale yaan wagumu unatafuna hadi meno yanauma
Nikawachukia kabisa




aaaah wapi wee mbna wako laini tyuuh, mie nshazoea yaan.Eeh hao waliokausha mmh hapana.Wewe kama mimi
Huwa nawatamani tu wakiwa wabichi.
Wabaya
Wachungu
Wapo kama vinyoka
Heri nile ugali mchicha





acha uongo wako wee.Siwapendi jamani, ila wakiwa wabichi wanavutia zaidi.
Hao wakavu hapana





ila nyie watu haya bhana.Hivi pale mbogamboga kwenye kiwanda chetu cha kuzalisha pumba hakuna swimming pool kweli?Kwenye maji....sasa wewe ulidhani ni wapi?
Au unataka ujifunzie kwenye mchanga?![]()
ndio
Kwanza ukiwaunga hawana ushirikiano wanabaki wamesimama wima wanakukodolea macho







mbavu zangu mie uwiiiiiiih.Hahahaa kweli mazoea, me walinishinda etiaaaah wapi wee mbna wako laini tyuuh, mie nshazoea yaan.
Sina hela shost 🤣🤣Badae uende salun au huna hela
Ahsanteeeeh sana.Hapo msamala nilikuwa naenda kwa mngoni mmoja hivi
Karibu MOSHI Mkuu
WeeeeHuyo jamaa ameniandama mwezi huu na hilo id lake.
Amelipumzisha lile id lake la mama Debo.
wale dagaa jau sana kwa sie tusio wazaliwa na wakazi wa huko.
Hata ukiwaweka nazi, ni kama vile wanaamkaga wanalamba tui lote









Walamba tui aisee we ukija dagaa wametoa macho, rojo halina nazi![]()




hivi wee una nn?Aah mtoto mzuri kama wewe pisi kali unakosaje hela😂Sina hela shost 🤣🤣
Napeleka mtoto clinicMtoko wapi tena asubuhi hii.?![]()
Watamu hao hatareee.Eeh hao waliokausha mmh hapana.
Japo wabichi sijawah kuwabahatisha sehem, siku nikiwapata nitawakaanga nione