Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220326_045001.jpg
 
hao ni dagaa nyasa, ndo hao tyuuh naotumia mie,
Kwetu Songea wamejaa kibao, tena bei rahis, wabichi kwa wakavu..

Kila napotoka home huwa nabebaa had ndoo kubwa, nawala wee had nawamwaga uwiiiih. Na hapo majirani nakuwa nimewagawaia.
Usinikumbushe bhana home lol.
Kuna kipindi tuliletewa ndoo nzima, aaah dagaa wabaya wale yaan wagumu unatafuna hadi meno yanauma😂😂
Nikawachukia kabisa
 
Mweeee
🤣🤣🤣🤣🤣

Heri lakini umebaki mzima, mzee mstaafu tutafute kazi ya ulinzi sasa uanze kukusanya nyingine
Jana Kuna mrembo mmoja alikuwa mkono wangu wa Kushoto Kila nilipokwenda alinipeleka, nikilipia vinywaji Chenchi alibaki nayo alisema ananitunzia. Saivi asubuhi simwoni Wala Chenchi hazipo 🥱🥱🥱

Next mtoko Bora uwe unanikampani wewe, hawa Mabinti wengine wataniua bure🤪🤪🤪🤪
 
Back
Top Bottom