Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Kuna wale dagaa flani warefu kidogo wana weusi na weupe kidogo af wagumuuuuu.Mwanza na kigoma ndo mchanga.
Hivi ni wa wapi
Kuna wale dagaa flani warefu kidogo wana weusi na weupe kidogo af wagumuuuuu.Mwanza na kigoma ndo mchanga.
Huli dagaa?kwan wa mchanga ni kichefu chefu, mie siwezi hata yaan
Najua ila sikujua ndio inamaanisha hivyo😂Kwamba hujui uwa wanaanikwa chini 🙄
Khaaaakwan wa mchanga ni kichefu chefu, mie siwezi hata yaan
Nyasa mojaKuna wale dagaa flani warefu kidogo wana weusi na weupe kidogo af wagumuuuuu.
Hivi ni wa wapi
Hiyo kitu ukilia na dagaa hutakaa usahau.....Nyasa moja



Songea nawasalimu popote mlipoSitumii mie dagaa.Huli dagaa?
Kuna wale dagaa flani warefu kidogo wana weusi na weupe kidogo af wagumuuuuu.
Hivi ni wa wapi




hao ni dagaa nyasa, ndo hao tyuuh naotumia mie, Wasalimu bombei (Bombambili), matarawe, mfaranyaki, mahenge (ikulu ndogo) karibu na Posta Bank jirani na CRDB benkihao ni dagaa nyasa, ndo hao tyuuh naotumia mie,
Kwetu Songea wamejaa kibao, tena bei rahis, wabichi kwa wakavu..
Kila napotoka home huwa nabebaa had ndoo kubwa, nawala wee had nawamwaga uwiiiih. Na hapo majirani nakuwa nimewagawaia.
Usinikumbushe bhana home lol.
Nakutakia ushindi mwema Mtumishi. Mungu ni mwema.....Ndiyo Mtumishi. Ni kwa Neema tu ndiyo tutauona wokovu...na ametuahidi kuwa hatatupa jaribu lililo kuu kuliko uwezo wetu wa kulihimili. Ushindi ni wa lazima na hakika Mtumishi mwema
View attachment 2164389
Wasalimu bombei (Bombambili), matarawe, mfaranyaki, mahenge (ikulu ndogo) karibu na Posta Bank jirani na CRDB benki
Nimemisi kwenda Majengo au kule HOMSO (Songea refferal hospital)




kweli Songea unapajua, mie kwa sasa sipo huko. WamenishindaLenie ni hawa hapa dagaa nyasa wenyewe. View attachment 2164486View attachment 2164487View attachment 2164488
NaamWakuuu
Selfika mkuu,tuutendee haki uzi wetuNaam
Kuna bonge moja la mvuaSelfika mkuu,tuutendee haki uzi wetu
Wamenishinda
Afu kuna wale wadogo wake, ni kama wanakuwa na ka uchungu si ka uchungu.




wale wadogo hataa mie siwawezi wanachacha mno. Huku kuna joto si mchezo, hakuna hata dalili ya mvua...Kuna bonge moja la mvua
Nilale mie![]()